SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Where mbona sijasema mwanaume nimesema wanawake wa humuSi ulikuwa unaongea mafumbo au unafikiri sikusoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where mbona sijasema mwanaume nimesema wanawake wa humuSi ulikuwa unaongea mafumbo au unafikiri sikusoma?
Kumbe jifanye kichaa ole wako uniongelee popoteMbona mie sijakufuata??
Wala sinakuquote hata najibu unachoandika lazima nijibu siwezi kaa kimya
Af na ww Uwe unaelewa pale unapojibiwa kwa kudhihakiwa.... Ndo maana hupati demu.Nisihusiswe tafadhali mimi ni mgeni hapa, sijuwi huwa munaishije wacha nieke maiki pembeni
Acha Njaa.mkuu tufundishe jinsi ya kuwapata nyie wadada.
Kwani mchumba angu Mdakuzi kilicho kuchekesha hapa ni nini?Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi kijeiefu jeiefu au ilikuwaje hadi mukawapata?
Mwisho kabisa kama kuna demu munajuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
Mwamba nini tenaKumbe jifanye kichaa ole wako uniongelee popote
😂😂🙌🏿 Ungevunga basi.Af na ww Uwe unaelewa pale unapojibiwa kwa kudhihakiwa.... Ndo maana hupati demu.
Sasa nini eti kusema meni dume nina ID mbili nimejisahau??
Me nakojoa nimechuchumaa...
Nilikujibu vile maana kweli mwanaume aweke ID ya kike na jina la Kike si atakuwa shoga...
Sema nini jiongeze usikae kiboya...
I'd hyo pia sio ya kukupea mademu
Umepoa mnoo... Chachuka uwanase tule ubwabwa
😂😂 ila uyo nae ana moyoTate Mkuu uko wapi nasemwa huku njoo babe
Acha vitishoUtauponza! Shauri yako
Potezea mkuuMwamba nini tena
Hahaaa hata wewe😁Afu mtu anakuwa na hasira ajab
Bila kumchana ataendelea kukaa ki juzi juzi😂😂🙌🏿 Ungevunga basi.
Unatisha aisee , .Kumbe jifanye kichaa ole wako uniongelee popote
Naap we jichanganye siku utoe taarifa kuhusu mimi jifanye kichaa ivyo ivyo utanichukia nakwambiaTate Mkuu uko wapi nasemwa huku njoo babe
Haikuhusu maisha yetu haya .😂😂 ila uyo nae ana moyo
Sina hasira kabisaHahaaa hata wewe😁
tudunde mpaka mbili ngapi vile 😂Kimemlamba yeye, wewe tulia na mimi 😅
Couze unafanya kazi kule watch itNaap we jichanganye siku utoe taarifa kuhusu mimi jifanye kichaa ivyo ivyo utanichukia nakwambia