Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

Nisihusiswe tafadhali mimi ni mgeni hapa, sijuwi huwa munaishije wacha nieke maiki pembeni
Af na ww Uwe unaelewa pale unapojibiwa kwa kudhihakiwa.... Ndo maana hupati demu.
Sasa nini eti kusema meni dume nina ID mbili nimejisahau??
Me nakojoa nimechuchumaa...
Nilikujibu vile maana kweli mwanaume aweke ID ya kike na jina la Kike si atakuwa shoga...
Sema nini jiongeze usikae kiboya...
I'd hyo pia sio ya kukupea mademu

Umepoa mnoo... Chachuka uwanase tule ubwabwa
 
Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi kijeiefu jeiefu au ilikuwaje hadi mukawapata?

Mwisho kabisa kama kuna demu munajuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
Kwani mchumba angu Mdakuzi kilicho kuchekesha hapa ni nini?
 
Af na ww Uwe unaelewa pale unapojibiwa kwa kudhihakiwa.... Ndo maana hupati demu.
Sasa nini eti kusema meni dume nina ID mbili nimejisahau??
Me nakojoa nimechuchumaa...
Nilikujibu vile maana kweli mwanaume aweke ID ya kike na jina la Kike si atakuwa shoga...
Sema nini jiongeze usikae kiboya...
I'd hyo pia sio ya kukupea mademu

Umepoa mnoo... Chachuka uwanase tule ubwabwa
😂😂🙌🏿 Ungevunga basi.
 
Kumbe jifanye kichaa ole wako uniongelee popote
Unatisha aisee , .
First of all mind your business
Second leave me out of you are stress
Third i don't think a https://jamii.app/JFUserGuide about you
Forth , I live my life as , I please only God can scares me no man can .
Fifth , no matter i say here it not consend any one even you and i am free because i have a life . Hunilishi , hunipi chochote nanikitaka kukusema nakusema ila sasa muda sina i got my own shit to deal with it .
PLease kindly stop of you are fucking nonsense I HOPE UMENIELEWA
 
Back
Top Bottom