Wenye watoto wa kike wafundisheni binti zenu kujitegemea, wasitegemee pesa ya mwanaume

Wenye watoto wa kike wafundisheni binti zenu kujitegemea, wasitegemee pesa ya mwanaume

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Sijui ni dhiki ama ni tabia. Mabinti wengi wa kitanzania wanawaza pesa za mwanaume tu. Utasikia mwanaume lazima uwe na hela, maanaume asie na hela simtaki, sijui vitu gani.

Mabinti wengi wa kitanzania wanajifunza tabia za kikahaba toka wakiwa wadogo, wanawaza pesa za mwanaume tu. Ni kweli mwanaume lazima awe au ajitahidi kupata hela ila zile hela zitamfaidisha mwanaume kwa sababu ni zake. Pesa za mwanaume hazitamsaidia kitu msichana.

Tuanze kuwafunza mabinti zetu kujitegemea, kutafta pesa zao. Wakiwa na pesa zao watajiamulia cha kufanya, wasitegemee uchi maana mabinti wengi akili yao iko wenye uchi wao sio kwenye akili zao.

Leo hii huwezi kuchukua binti wa kitanzania kwa mtoko mgawane bili au kila mtu ajilipie alichokula ama kunywa, ni wachache sana. Wengi wanaamini mtoko na gharama zake zote ni juu ya mwanaume yeye kazi yake ni kutoa uchi tu.

Binti akiwa na mawazo tegemezi ya kutegemea akili atapata pesa zake na ata-dictate terms za mahusiano, kwa mwanaume anaemtaka yeye. Lakini akitegemea uchi atapigwa rungu na mwanaume yoyote yule mwenye pesa.

Hivi mnajua kwa nini mabinti wengi wanalawitiwa au kufanya mapenzi kinyume na maumbile siku hizi? Sababu ni moja tu mwanaume akiwa na pesa na mwnaamke anamtegemea kwa kila kitu anakua hana ubavu wa kumkatalia mwanaume akitaka kufanya naye mapenzi kinyume na maumbile, anaogopa atapoteza mdhamini hivyo anakua tayari kumpa mdhamini chochote anachokitaka. Sasa binti akiwa na pesa zake hawezi kulazimishwa jambo asilolitaka kwa sababu ya kuhofia kumpoteza mdhamini na hata mwanaume humuheshimu sana mwanamke mwenye pesa zake na wengi huwaogopa. Hata akiongea nae anaongea kwa heshima flani.

Tuwafundishe mabinti zetu kujitegemea kiakili na sio kutegemea uchi. Akiwa na akili atatoa uchi pale anapohitaji na anapojisikia mwenyewe akiwa na nyege zake na sio kutoa uchi kila akiwa na shida, shida haziishi hivyo atatoa uchi maisha yake yote.

Pesa siku hizi imefanya thamani ya mwanamke imepotea na sababu ni moja tu, wanawake wengi hawataki kutumia akili wanatumia miili yao hivyo kupoteza hadhi na heshima yao. Wanaume wenye pesa huwafanya wanawake wanavyotaka. Nina jamaa zangu wafiraji wa wanawake wananiambia ukiwa na pesa hakuna mwanamke anakataa unachokitaka kutoka kwake. Ni maamuzi yako umlawiti au uingize ukeni. Hali ni mbaya sana. Tuwalinde mabinti zetu.
 
Mkuu chamsingi tafuta bint mwema kisha muoe hata ukimgharamia kila kitu hamna kitakacho kuuma.

Hawa wakupita nao wana gharama mno wana tukomoa flani hivi.

Imagine sasa hivi paka pesa za kununulia majani ya mwembe au mrubaini kwa ajili ya kufkiza wanatuomba. Na tuna tuma tuu hamna namna

komesha korona
 
Mkuu chamsingi tafuta bint mwema kisha muoe hata ukimgharamia kila kitu hamna kitakacho kuuma.

Hawa wakupita nao wana gharama mno wana tukomoa flani hivi.

Imagine sasa hivi paka pesa za kununulia majani ya mwembe au mrubaini kwa ajili ya kufkiza wanatuomba. Na tuna tuma tuu hamna namna

komesha korona
Pesa ya kujifukiza[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu chamsingi tafuta bint mwema kisha muoe hata ukimgharamia kila kitu hamna kitakacho kuuma.

Hawa wakupita nao wana gharama mno wana tukomoa flani hivi.

Imagine sasa hivi paka pesa za kununulia majani ya mwembe au mrubaini kwa ajili ya kufkiza wanatuomba. Na tuna tuma tuu hamna namna

komesha korona
Mkuu aliekwambia nataka kuoa ni nani? Au wapi nimesema sijaoa au nimekosa mwanamke wa kuoa?
 
Ni kweli hujasema hayo yote. Ila nimetoa solutions kwa ndugu wasomaji. Wanaokumbana na hayo uliyo yaandika.

Vile vile sijakataa kwamba wanawake wa sasa sio kweli hawapendi pesa .

Nimewapa option wanaume ili kuepuka haya yote. Ni ngumu saana kuwabadilisha mabint wakisasa
Mkuu aliekwambia nataka kuoa ni nani? Au wapi nimesema sijaoa au nimekosa mwanamke wa kuoa?

komesha korona
 
Tatizo lao si kupenda pesa,bali wanakulipizia kisasi!
Wanajua ukishadate nae tayari umemuacha hivyo!

kwa hiyo anatumia vyema nafasi kukupiga kizinga mpake arizike sasa..hata ukienda kuwaambia rafiki zako kuwa umetoka nae halitamsumbua

Ila wakijua kama unawapenda kabisa kutoka moyoni,hata buku yako hatoitaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndio maana wengi wamebaki na mabwawa na kuishia kuita wanaume vibamia kwa sababu ya kutumika Sana,yaani hata ile ladha ya kuoa mtu unakosa kwa sababu unakuta kitu iko used ile mbaya yani
Mashine zimesoma mileage balaa.

Mwanamke akikwambia anaishi kwake na hana shughuli maalum ya kufanya ukimgusa huyo dshboard inasoma km laki 2. Tasteless kabisa
 
Back
Top Bottom