Wenyeji wa Dar msaada wenu

Vijana wa Darisalama wote ni wahuni tu, awe mtulivu asiwe mtulivu.

.........Cha ajabu kuna wenzako watakuwa wameza inbox kwa mwamba wakijifanya wasamalia.
 
Vijana wa Darisalama wote ni wahuni tu, awe mtulivu asiwe mtulivu.

.........Cha ajabu kuna wenzako watakuwa wameza inbox kwa mwamba wakijifanya wasamalia.
Kaka Mimi sina baya maake nakuja dar.... Mpk naenda chuo sikufanyiwa ubaya kwani Mimi nimlipe mtu ubaya ?

Labda wengine kwangu hapana
 
Kaka Mimi sina baya maake nakuja dar.... Mpk naenda chuo sikufanyiwa ubaya kwani Mimi nimlipe mtu ubaya ?

Labda wengine kwangu hapana
Watu wa Dar hapana.

......Mtu anakupiga huku kashika bible mkononi, anaongea kama katoka chuo cha biblia leo, Wakazi wa Dar wote ni wahuni tu.
 
Watu wa Dar hapana.

......Mtu anakupiga huku kashika bible mkononi, anaongea kama katoka chuo cha biblia leo, Wakazi wa Dar wote ni wahuni tu.
Mkuu ukiwa mwanangu uta enjoy sina uhuni mzee najua kwakuwa hatujuani Ila nipo normal sana...... wizi, utapel hapana
 
panda mwendokas ma kivukoni,shuka jiji,muulize MTU yyte bot za Azan atakuonesha
 
Wewe sasa unamtisha, aingie ndani ya daraja! Hajawahi kuona daraja kubwa huyo, mwambie awaombe watu wambebe wamvushe barabara wampeleke kwenye mabasi ya rangi ya buluu ya kwenda Kivukoni.
 
Panda magari yanavyoenda posta kivukoni
Kuna bajaji zinaelekea huko
Ila kama una haraka na una Hela fanya elfu nane bodaboda Ili uwahi
Bodaboda simshaur kabisaa ni hatari Sana hapa mjini..

Apande tax, daladala, bajaji atafika TU kwa WAKATI..
 
Poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…