misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Huyo Tamba si marehemu?Kuna sultani tamba na sultani mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Tamba si marehemu?Kuna sultani tamba na sultani mbowe
View: https://www.youtube.com/live/ayxulwI31K4?si=kqdYhKIBgFkjxq0k
Hatimaye wenyeviti na Makatibu WOTE wa MIKOA wamekutana kwa pamoja ili kutoa msimamo Wao kuelekea Jan 21.
Fuatilia jf kwa habari za papo hapo
Umekuwa mpoleeeWatahangaika sana na elfu 10 wanazolipwa
Kwa hiyo hao makatibu na wenyeviti wote 60 wamesema wako na Lissu?Wajumbe wapiga kura wako 1,200.
Wenyeviti na makatibu wa mikoa hawazidi 60
1200 ukitoa 60 bado wanabaki 1140
Hao 60 hamna kitu hata wakimpa kura zao zote Lisu
Mbowe ni mwenyekiti kwa mitano Tena!! Hatishiki mtu!! Hicho kinachoendelea Hapo ni utoto sana!Lusungo Retired Quinine Fundi Mchundo ...
Kwa hali ilivyo ushindi wa Mbowe (kama atashinda) utakivuruga sana hiki chama.
zitto junior JokaKuu Bams
Msigwa kampeni manager wa lissu yupo chama ganiUmekuwa mpoleee
Mara ghafla Mbowe kajitoa, CCM mtaandamana?
Ngoja utaona madhara yake huko mbeleni kama Mbowe atashinda.Mbowe ni mwenyekiti kwa mitano Tena!! Hatishiki mtu!! Hicho kinachoendelea Hapo ni utoto sana!
Yani ni balaaa kilaini kabisaaaWenzao upande wa pili wamewapasua watia nia wenza wa urais bila ganzi.
Nauliza tu huu ndio utaratibu wa chadema kila wakifanya uchaguzi wao au leo ni mihemko tu kwa vile wanamuunga mkono mtu mwemye mihemko?Seriously CHADEMA is above next level kwa mipango.. Wako very very systematic
Yaani kwa akili yako unataka tuyumbishwe na spinning hii ya kitoto??Ngoja utaona madhara yake huko mbeleni kama Mbowe atashinda.
Mbowe ni project ya Ccm, akishinda chama kitadumaa.
Watahangaika sana na elfu 10 wanazolipwa
Mwaka huu kuna bundi ametua juu nyumba yaoKwamba huu ndio utaratibu wa chadema miaka yote au chama kimekumbwa na mihemko kama mmoja wa wagombea wake?
maskini Lema anao wahutubia wanamuangalia kwa dharau na hasira sana,
nahisi wanajisemea moyoni kwamba hili jamaa lenyewe limejichokea tu linabwabwaja tu hapa, linapoteza muda tu![]()