Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kama vipi wagawane mbao tu hakuna namna iwe kama CUF na ACT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kukivuruga tu bali kukifanya kisinyae kikose ugwaaji mkono wa wananchi kama CUF ya LIPUMBALusungo Retired Quinine Fundi Mchundo ...
Kwa hali ilivyo ushindi wa Mbowe (kama atashinda) utakivuruga sana hiki chama.
zitto junior JokaKuu Bams
View: https://www.youtube.com/live/xC4IJhS1iSY?si=OCr5_0FO2pZzQn8J
Mbowe aendelea kukataliwa na wanachama na wananchi kwa ujumla.
Au hauna Bando la kuangalia hiyo Video?Mbona wananchi hatujamkataa kwani tunampigia kura wapi
Hao wachache sana wananchi wengi hatujaulizwa na hatuna msemaji rasmiAu hauna Bando la kuangalia hiyo Video?
Amka amka kumekucha mekuMbowe ni mwenyekiti kwa mitano Tena!! Hatishiki mtu!! Hicho kinachoendelea Hapo ni utoto sana!
Kivipi wakati mshindi anajulikana kuwa ni Lissu. Hiyo ni roho mbaya ya tukose wote. Ndiyo inafanya kazi ndani ya Mbo...we piaKama vipi wagawane mbao tu hakuna namna iwe kama CUF na ACT
View: https://www.youtube.com/live/ayxulwI31K4?si=kqdYhKIBgFkjxq0k
Hatimaye wenyeviti na Makatibu WOTE wa MIKOA wamekutana kwa pamoja ili kutoa msimamo Wao kuelekea Jan 21.
Fuatilia jf kwa habari za papo hapo
Intimidation na branding ni muhimu sana kwenye campaign. Hapo anaonyesha power iliyopo kwamba wakichezea uchaguzi patawaka!! Hivi hao wote wakimgomea Mbowe atamuongoza nani?Sio Chair bali Team Lisu ndio wana kelele mitandaoni waoga sanduku la kura
Si wasubiri keshokutwa sanduku la kura muda huu wa lala salama?
Lisu anadanganywaYa azimio umeyamaliza ? Unakuja kuhangaika na CDM halisi
