imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ngoja wamlie fedha zake halafu 21 wampige chini😁Mbowe analazimisha tu, pamoja na kuwaweka watu kwenye malodge watu hawana hamu naye, huku mtaani watu hawataki kusikia jina la mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja wamlie fedha zake halafu 21 wampige chini😁Mbowe analazimisha tu, pamoja na kuwaweka watu kwenye malodge watu hawana hamu naye, huku mtaani watu hawataki kusikia jina la mbowe
View: https://www.youtube.com/live/ayxulwI31K4?si=kqdYhKIBgFkjxq0k
Hatimaye wenyeviti na Makatibu WOTE wa MIKOA wamekutana kwa pamoja ili kutoa msimamo Wao kuelekea Jan 21.
Fuatilia jf kwa habari za papo hapo
Na nani ?Lisu anadanganywa![]()
Atapigwa, pengine hata ukumbini asiwepoHuyu Bele wa Kusini mbona ana moto sana? Fujo ndio mambo yake? 🤣🤣🙌🏾
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu2Waf 25:13 , Yer 50:1 n.k
🤣😆Unapigwa au unapigiwa
AminaUbarikiwe sana mtu wa Mungu
Kimpetu petu, (kipindu kipindu)Wana mpango wa kumpindua mwamba
Tulishauri ,Mbowe jitoe ,wapambe njaa NTOBI , YERICO NYERERE , wakaanza mpamba ,sasa anaenda kupigwa kipigo cha Mbwa KokoMwanzo nilidhani ni mzaha, Ila akianani Mbowe safari hii ameyatimba,
Sijui atashindaje shindaje yani
Wewe ndio umeona hivyomaskini Lema anao wahutubia wanamuangalia kwa dharau na hasira sana,
nahisi wanajisemea moyoni kwamba hili jamaa lenyewe limejichokea tu linabwabwaja tu hapa, linapoteza muda tu![]()
Umepagawa.maskini Lema anao wahutubia wanamuangalia kwa dharau na hasira sana,
nahisi wanajisemea moyoni kwamba hili jamaa lenyewe limejichokea tu linabwabwaja tu hapa, linapoteza muda tu![]()
Endelea kujifariji. Mbowe kachokwa na kila mpenda mageuzi nchiniWajumbe wapiga kura wako 1,200.
Wenyeviti na makatibu wa mikoa hawazidi 60
1200 ukitoa 60 bado wanabaki 1140
Hao 60 hamna kitu hata wakimpa kura zao zote Lisu
Umepagawa.maskini Lema anao wahutubia wanamuangalia kwa dharau na hasira sana,
nahisi wanajisemea moyoni kwamba hili jamaa lenyewe limejichokea tu linabwabwaja tu hapa, linapoteza muda tu![]()
Mbowe kachokwa na kila mpenda mageuzi nchini.Mbowe ni mwenyekiti kwa mitano Tena!! Hatishiki mtu!! Hicho kinachoendelea Hapo ni utoto sana!
how?Lusungo Retired Quinine Fundi Mchundo ...
Kwa hali ilivyo ushindi wa Mbowe (kama atashinda) utakivuruga sana hiki chama.
zitto junior JokaKuu Bams
Simba kashinda so do Lissu💪🏿💥View attachment 3206461
Timu Lissu tumeshamuandaa Mwali, Mbuzi wameshanunuliwa✌️✌️✌️
Huo ni ubora wa Chama kwa Afrika Chadema haikosekani kwenye top 5.Ulaya haikosi kwenue top15,Duniani haikosekani kwenye top 50.Akitaka kuzingua mmoja wetu tinamfungulia milango akale anapochezaga.Kwamba huu ndio utaratibu wa chadema miaka yote au chama kimekumbwa na mihemko kama mmoja wa wagombea wake?