Wenyeviti na Makatibu wote wa mikoa wa Chadema wanatoa msimamo wao muda huu

Wenyeviti na Makatibu wote wa mikoa wa Chadema wanatoa msimamo wao muda huu

Kuna sababu watu wanaitwa nyumbu. Wana rudia tuu kila kinachosemwa bila uelewa wowote. K.m. anachozungumza kuhusu rushwa hakina kichwa wala miguu. Au hilo la Mbowe kuwa Rais. Wanafikia hata hatua ya kumtolea vitisho Mbowe!

Itakuwa interesting kuwaona watafanya nini kama Mbowe atashinda. Hata Lissu akishinda kama kweli watakuwa nae.

Amandla...

..unakosea kuita binadamu wenzako nyumbu.

..kuna hujuma zimefanyika kwa muda mrefu dhidi ya Watanzania ambazo zimepelekea tuwe hivi tulivyo.

..Watanzania majadiliano yanayohitaji kushindanisha hoja, tunashindana kwa kucharurana.

..Yaani mienendo yetu ktk mijadala ya Yanga vs Simba, ndiyo hiyo inahamia ktk mijadala mizito ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii.

..Unapoangalia kinachoendelea Chadema sasa hivi ni lazima uzingatie mazingira niliyoyaelezea hapo juu.
 
Aiseeh Intelligence ya Chadema KIBOKO......mpaka sasa hakuna ALIYE GUNDUWA😃😃😃


Aiseehh kweli 21 ni CHADEMA DAY
 
..unakosea kuita binadamu wenzako nyumbu.
Sio mimi. Kuna watu wanawaita hivyo.
..kuna hujuma zimefanyika kwa muda mrefu dhidi ya Watanzania ambazo zimepelekea tuwe hivi tulivyo.
Hakuna excuse ya kufuata vitu bila kutafakari. Na hii sio kwenye siasa tu. Tukisikia kuna mtu anasema kuwa ametumwa na Mungu tunafurika huko bila hata kujiuliza kama hiyo miujiza anayodai kuifanya ni kweli au la. Hata kwa wale ambao wameenda shule na wamepata exposure ya kutosha.
..Watanzania majadiliano yanayohitaji kushindanisha hoja, tunashindana kwa kucharurana.
Ndio mazoea yetu. Na tukimkubali mtu tunamgeuza Mungu. Mtu akidiriki kumkosoa tunam mwagia matusi badala ya kumuonyesha kwa nini hayuko sahihi.
..Yaani mienendo yetu ktk mijadala ya Yanga vs Simba, ndiyo hiyo inahamia ktk mijadala mizito ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii.
Nakubaliana na wewe kwenye hili. Ila mimi nafikiri tatizo lingine ni kuwa tunakuwa wepesi mno kumkubali mtu ambae anasema kuwa ana ufunguo wa matatizo yetu. Awe sponsor wa timu ya mpira, kiongozi wa dini, kiongozi wa kisiasa n.k.
..Unapoangalia kinachoendelea Chadema sasa hivi ni lazima uzingatie mazingira niliyoyaelezea hapo juu.
Nayaangalia ndio maana yananichukiza. Hasa ninapoamini kuwa kuna watu ambao wanayachochea kwa ajili ya manufaa yao.

Amandla...
 
Wajumbe wapiga kura wako 1,200.

Wenyeviti na makatibu wa mikoa hawazidi 60
1200 ukitoa 60 bado wanabaki 1140

Hao 60 hamna kitu hata wakimpa kura zao zote Lisu
Mmehamisha goli tena..?

Si mlisema anaungwa mkono na wenyeviti wa mikoa wa3 tu...?

Hawa wa mikoa 25 kila mmoja akiwa na wajumbe 25 tu nyuma yake, hiyo hesabu inakupa jibu gani eti...?

25 × 25 = 625....!!

Hapo vipi wewe Shotocan a.k.a Chawa wa kijani..??

Hesabu hiyo ni ya wenyeviti tu..?

Vipi wale wajumbe wengine...?
 
Huo ni ubora wa Chama kwa Afrika Chadema haikosekani kwenye top 5.Ulaya haikosi kwenue top15,Duniani haikosekani kwenye top 50.Akitaka kuzingua mmoja wetu tinamfungulia milango akale anapochezaga.
Hujajibu swali mkuu!
 
Si mlikuwa mnasema Mbowe astaafu, sasa imekuwaje?
Unadhani hawana akili kabisa? hapana. Walikuwa wanataka mbowe aondoke. Wamegundua kuwa anayetaka kuchukua kiti ni lissu. wameshtuka wameona bora aendelee mbowe maana anazungumzika.
 
Kwa kuzungukwa na Ntobi na Yeriko amesmua kubeba hii fedheha ila alishasema siku ile alipokua chicha jukwaani kule Mwanza haya ndio matokeo ya maneno yake Acha alibebe zigo
 
Hujajibu swali mkuu!
Kuna swali umeniuliza au nimekuuliza wewe hapari ya suprise hapo kwenu,kumbe mlikuwa nazo za kumwaga kiasi zimewaachia wenge mithili ya walevi wa visungura na gongo feki?
 
Sasa kama top squard ya wagombea wa CCM imeishatangazwa why wabunge na madiwani nao wasianze ligi huko majimboni na kata zao. kitu inatakiwa iwe uniformlly japo watia nia ubungeni ni wengi, waruhusiwe tu kujipendekeza kwa wananchi ili wanaanchi wajue watamchagua nani wakati wa kura
 
Back
Top Bottom