Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahsNaona umejitoa mhanga kweli kumtetea dikteta uchwara ambaye amekataliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahsNaona umejitoa mhanga kweli kumtetea dikteta uchwara ambaye amekataliwa.
Kibao kimegeukaSi mlikuwa mnasema Mbowe astaafu, sasa imekuwaje?
🤣Mwanzo nilidhani ni mzaha, Ila akianani Mbowe safari hii ameyatimba,
Sijui atashindaje shindaje yani
Kesho hii keshokutwa ileWatu wamemchoka "mwamba" wameona liwalo na liwe.....mwamba mwenyewe kashtukia mchezo mpaka kaamua kufanya media tour
Lissu yupo very serious na hiliMwanzo nilidhani ni mzaha, Ila akianani Mbowe safari hii ameyatimba,
Sijui atashindaje shindaje yani
Nothing more, nothing lessLissu yupo very serious na hili
Hakua mtu wa media sana ila round hii disco limeingia MasaiKesho hii keshokutwa ile
Kwa hela ipi?
Atakuja kuchukua cha hapo chamani kwenu.Unadhani hawana akili kabisa? hapana. Walikuwa wanataka mbowe aondoke. Wamegundua kuwa anayetaka kuchukua kiti ni lissu. wameshtuka wameona bora aendelee mbowe maana anazungumzika.
Huyu mwamba amefunguka sanaKuna ambaye hajamuelewa Chacha Heche?
Je,kama Mbowe akishinda nafasi ya mwenyekiti Kwa kutumia wapigakura ukumbini,huo mtandao wa akina Lisu na Heche watakimbia chama? Maana kila siku wanahubiri kwamba Kuna rushwa kwenye uchaguzi wa Chadema?Aisee kwa mara ya kwanza naona siasa ya kitaalam na kisayansi kwenye siasa za vyama. Lissu na wote wanaaomunga mkono hakika wamefanya oganaizesheni ya hali ya juu kunyakua uongozi wa chama. Hii inaweza kufungua siasa mpya za akili nchini mwetu. Hii sio siasa ya hela ama ukwasi wa mali bali maono, mtandao, hoja na namba za kura
Kazi ipoKundi la Lissu ni waongo sana, wanawafanya wafuasi wao ni mazezeta. Wenyeviti halali wa mikoa wapo kwenye press sasa hivi wanakanusha kumuunga mkono Lissu.
Press gani? Tv?Kundi la Lissu ni waongo sana, wanawafanya wafuasi wao ni mazezeta. Wenyeviti halali wa mikoa wapo kwenye press sasa hivi wanakanusha kumuunga mkono Lissu.
YouTube Channel mwanzo tvPress gani? Tv?