Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Gaidi mbowhe linashulikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa timu ropo watapigwa kama ngoma.Wajumbe wapiga kura wako 1,200.
Wenyeviti na makatibu wa mikoa hawazidi 60
1200 ukitoa 60 bado wanabaki 1140
Hao 60 hamna kitu hata wakimpa kura zao zote Lisu
SahauDodoma inazidi KUFUNIKWA.....Chadema akili KUBWA
Sasa we popoma utaelewa nini huku majina hayawekwi kwenye POCHISahau
Mpakaa sasa mmekimaliza chama chenu na watanzania wamejua nyie ni mtapeli
😅😅😅 Sultani Bowe muda wake wa kutolewaKuna sultani tamba na sultani mbowe
View: https://www.youtube.com/live/xC4IJhS1iSY?si=OCr5_0FO2pZzQn8J
Mbowe aendelea kukataliwa na wanachama na wananchi kwa ujumla.
Mbowe alipaswa kutoa jina lake kwenye kugombea uwenyekiti amwachie lissu, kupokezana kijiti ndo uongozi .Lusungo Retired Quinine Fundi Mchundo ...
Kwa hali ilivyo ushindi wa Mbowe (kama atashinda) utakivuruga sana hiki chama.
zitto junior JokaKuu Bams
Kuna sababu watu wanaitwa nyumbu. Wana rudia tuu kila kinachosemwa bila uelewa wowote. K.m. anachozungumza kuhusu rushwa hakina kichwa wala miguu. Au hilo la Mbowe kuwa Rais. Wanafikia hata hatua ya kumtolea vitisho Mbowe!Lusungo Retired Quinine Fundi Mchundo ...
Kwa hali ilivyo ushindi wa Mbowe (kama atashinda) utakivuruga sana hiki chama.
zitto junior JokaKuu Bams
Kwahiyo wapiga Kura wanatok CCM au kama hao cyo wapiga kuraHao wengi sio wapiga kura
Watashangaa BOX likianza kugunguliwa....Mwamba ni mwamba tuHao wengi sio wapiga kura
2Waf 25:13 , Yer 50:1 n.kAnayewajua Wakardayo wanapatikana kwenye mstari gani wa Bible anisaidie ili nikasome
Unapigwa au unapigiwaYani ukitaka makofi wewe sema Lissu tu.