Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Naomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.Kunywa chai ya tangawizi Ile Kali sana then panda kwenye jukwaa utapafom bila kuchoka na mizuka hatari
Una umri gani mkuuNaomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
Ndo unavyoomba hivyo, sio?Kasongo yeeeee
Kasongo yeeeee
Kwisha kazi
30+, na wewe je?Una umri gani mkuu
π³π³π³Au gonga hii hapa before matchView attachment 3240948
Mobali na ngaiKasongo yeeeee
Kasongo yeeeee
Kwisha kazi
Mara ya mwisho mazoezi ya viungo umefanya lini ya kukuturirisha jasho japo kwa dk 3030+, na wewe je?
Huyo ndo wewe?!!!Moja nzuri inatosha sana π
Eeh shortcut hiiπ³π³π³
Nini hii?!!
Kuna sehemu lazima niende kwa miguu Kila siku, natumia dakika 40. Sio mazoezi hayo?Mara ya mwisho mazoezi ya viungo umefanya lini ya kukuturirisha jasho japo kwa dk 30
Duh utakuwa una shida au libido yako ipo chini au ulizoea sn kununua malaya, me nikipiga shoo mpaka manzi ikauke maji yote mwilini na bado nakuwa nataka kuendeleza tena kichapoAu ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa mpaka najishamgaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Hongera, nifanyeje Sasa?!!!Duh utakuwa una shida au libido yako ipo chini au ulizoea sn kununua malaya, me nikipiga shoo mpaka manzi ikauke maji yote mwilini na bado nakuwa nataka kuendeleza tena kichapo