Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
 
Kunywa chai ya tangawizi Ile Kali sana then panda kwenye jukwaa utapafom bila kuchoka na mizuka hatari
Naomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
 
Au gonga hii hapa before match
IMG_20250212_093959_191.jpg
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa mpaka najishamgaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Duh utakuwa una shida au libido yako ipo chini au ulizoea sn kununua malaya, me nikipiga shoo mpaka manzi ikauke maji yote mwilini na bado nakuwa nataka kuendeleza tena kichapo
 
Back
Top Bottom