issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
Sahihi ukiweza kubalance ukazuia kile kimoja ukapigwa walau kwa dk 15,... Kimoja lile bao la kwanza ni bao tamu sana haya mengine ni mbwembwe tu, kuchosha mwili na kupoteza muda wa kufanya mambo ya maendeleoKimoko kwa afya
