Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Suala hilo ni la kisaikolojia zaidi.
100%
Waone wataalamu wa magonjwa ya akili/saikolojia haraka iwezekanavyo.

Kwa hali ya kawaida jambo la asili haliwezi kukuchukiza na kukuondolea amani kwa namna unavyojisikia wewe.

Watu wanahonga ama kutoa mahari juu ya jambo hilo hilo, ina maana wanafurahishwa nalo na wanainjoi, iweje kwako?

Ukibweteka, utafika muda hautahitaji kushiriki tendo, maana kwako ni kero na unaona ni uchafu.

Na ukijilazimisha, jongoo halitapanda mtungi, kila litakapotaka kupanda litaishia kuteleza na kudondoka chini.
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Acha uzinzi kijana, maisha ni mafupi mno.
 
Mada kama hizi ndipo utajua wanaume wa Tz walivyo na mshikamano linapokuja suala la mwenzao kushindwa kuichakata vyema au kuzagamua, na ajabu huwa wanasikitishwa kwa pamoja na wanalibeba tatizo kama la kwao wote..

Watakuja wenye kila aina ya ushauri, mwingine kunywa eneji, mwingine kula miguu ya kuku anayetaga basi tu ili mradi wamuokoe mwenzao...
Mkuu wewe ni ke au me?
 
Achana na hao wasiokuwa na mvuto, watakuambia ni nguvu za kiume; tembea na kifaa cha namna hii, bunduki hailali masaa mawili masaa mfululizo
leo3.jpg
 
Back
Top Bottom