Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yes broSeriously
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes broSeriously
Shikamoo.Wote tuliozaliwa 93 kurudi nyuma hilo swala tusishangae.
Future haieleweki na stress za kutosha. No way tutaperform kama 2014
Ninyongweukamatwe haraka!!!
Nguvu za kiume ndio Bai bai Habibi...Apo ndio nitolee utashindwa hadi icho kimojaAu ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Angalia usijekuwa unakaribia kuwa upinde. Muone daktariNaomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
Sahihi mkuuDunia hii ina watu mkuu, tutafute hela tuzunguke dunia
Duh mbona hatari sana, kwamba baada ya kumwaga kimoja unakuwa bado hujaridhika au inakuwajeWengine tunaunganisha kabisa
Mbona husemagi kama hupendi unakausha tu sweetheart..
Hey boo😍
Mkuu angalia hio avatar vyema, mi ni me, tena mpalestine kutoka Gaza Hamas... angalia usilete tafrani..eti wamuokoe mwenzao,,ahahah!
Bibie lazima tupeana ushaur wakula mzigo kwa ufasaha maana mnatuchuna sana.
Niliposema wanaume wa Tz nimejijumuisha na mimi kiongozi..Mkuu wewe ni ke au me?