Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Nguvu za kiume ndio Bai bai Habibi...Apo ndio nitolee utashindwa hadi icho kimoja
 
Fanya mazoezi mkuu,fanya mazoezi,push ups kimbia ruka kamba ohooo
 
Naomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
Angalia usijekuwa unakaribia kuwa upinde. Muone daktari
 
leo3-jpg.3240995

My Qashy Lilith Ni yango na yango tu

😍😍😍😍😍
Hey luv😘
😀😀😀😀
 
Wote wanaoeleza hapo juu ni kama una matatizo ya nguvu za kiume. No. Hilo sio tatizo la nguvu za kiume. Wewe una tatizo la saikorojia tu. Hiyo hali ya kulikinai tendo hilo baada ya mchezo ni hali tu imejijenga kichwani mwako. Ulianza nayo kuna uwezekano na msichana ambaye hukumpenda,uliamua kupita nae tu kwa muda. Baada ya kumkula ukachukia. Japo wengi inawatokea hiyo hali,ingawa hawasemi,baada ya kumla unataka aondoke muda huo huo.

Tiba yake ni kujicontrol wewe mwenyewe. Hasa demu kama umempenda jitahidi kuliondoa hilo wazo kichwani mwako. Badala yake uwe Frexible hivi. Uwe kawaida tu ukirudia sawa,usipomrudia jiambie tu kwamba napo itakuwa sawa.

Namna nyingine nzuri ya kujitibu fanya kumla kimoja,halafu tokeni nendeni sehemu,kama kwenye starehe hivi. Mkirudi utamtaka tu tena. La pili lala nae. Utamkula tu hata mara 3. Hilo hakikisha unakuwa na demu mwenye hamu nae,yaani wale mademu wasio wakavu. Awe na utelezi wa kutosha.

Mwisho usiwaze mpaka ugonge vitatu viwili. Hata kimoja tu kinakutosha. Ila sasa kwa wewe jitahidi sana ujicheleweshe kufika. Ukiona unataka kufika mwisho unaweza ukatulia ama ukachomoa ama ingiza sana halafu fanya kama kutulia huko huko kwa sekunde kadhaa,rudi tena. Hiyo itamfanya demu afike mara nyingi,hata 3,mpaka 4 kabla yako wewe.
 
Back
Top Bottom