Poa kakaMkuu angalia hio avatar vyema, mi ni me, tena mpalestine kutoka Gaza Hamas... angalia usilete tafrani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kakaMkuu angalia hio avatar vyema, mi ni me, tena mpalestine kutoka Gaza Hamas... angalia usilete tafrani..
Nime cheka kwa nguvu 😂😂Mkuu angalia hio avatar vyema, mi ni me, tena mpalestine kutoka Gaza Hamas... angalia usilete tafrani..
Au sio 🤣 watakuja kufia uwanjaniTatu zote za nini kama unatosheka na kimoja?
Hapa watajitia ufundi ila huu ndio ukweli tena hicho kimoja kwa kuzungusha antenna sanaTunadanganyana mtandaoni ila mambo kwa field hayapo hivyo.
Wanandoa wanapigana kimoja.
Acha kumchimba mtoto wa watu 🤣🤣Kimoja cha dk5?
Haina shida, usi sahau mlenda wa vuguvugu una saidia sanaSasa pono zinashida gani wakuu? Intelligent businessman
Sa itakuwaje!
Njegere moko tu ya ndukumu zinamtosha demu mla helaBINAFSI VITATU NDIYO NAONA NIMEPIGA KINYONGE
DEMU AKILA HELA YANGU NI KUANZIA NJEGERE NNE............
Kah!Njegere moko tu ya ndukumu zinamtosha demu mla hela
Naomba nieleweke, si kwamba nachoka ila nakuwa najisikia vibaya mpaka basi......kama Kuna kichefuchefu flani kinakuja. Hata ikitokea nokaendelea, basi siinjoi kabisa kabisa, nakuwa najilazimisha tu.
Dah! ukweli mtupu kuna wanawake wanavutia mpaka kero ya ukikaa unamuwaza tu.Kila mtu ana namna anavyoshiriki...
Kuna wanawake wanajua kusisimu aisee... Utakuwa unarudia na kurudia..
Kimsingi ukipata mwenza anayejua nini anapaswa kufanya unaweza ukaenda zaidi ya hizo 3. Lakini huwa ni moja baada nyingine kwa the whole night.
Uzi bila picha ni batiliHongera, nifanyeje Sasa?!!!
Una umri gani? Mimi kuna mmoja nilimpiga tatu, hadi akawa analalamika nimemkomoa.Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.