Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
😄😄😄 ni ushauri tu. Akiamua afanye atafanya asipotaka asifanye pia.Utapeli ndio unaanza hivi hivi.
Una mwaminisha mtu kwamba ana mikosi, mizimu na mibalaa, Ili uanze kumhubiria habari uchwara za uponyaji kutaka hela zake na mali zake kama sadaka.
Mleta mada Bunchari kaa rada, Acha kupokea ushauri wa namna hii wa kwenda kwa manabii uchwara mwishowe uje upigwe hela zako.
Kaa chini, jitathmini na utambue kwamba..👇
You are your own provider and you are your own solutions in your life.