Unajuaje huna tatizo kama hilo? Umepimwa na wataalamu?Mkuu,
Sina tatizo Kama Hilo nilikua natembea jua la dar es salaam na heka heka za kariakoo sikua kwenye utulivu kabisa.
Wakati mwingine sito rudia kusoma na kuandika kwa haraka haraka Kama ivyoo.
Mimi mwenyewe ni mtaalam mwandamizi senior.Unajuaje huna tatizo kama hilo? Umepimwa na wataalamu?
Ni tatizo wanalo hata watu wazima. Jiongeze utaalam wako.Mimi mwenyewe ni mtaalam mwandamizi senior.
Labda Kama limenianza leo hii hili tatizo nijuavyo hii disorder huwa ni kwa watoto Sana Sana kushindwa kutamka,kutofautisha,kuandika na kusoma some of words.
Kwaio unataka kusema limenianzia utotoni 😊 what a joke.
Ofcoz!why are you asking obviously?Kwa hiyo huyo Mungu ndio anatoaga Hela kuchangia watu wanapo patwa na shida?
Ngoja nijichunguze 😊😂Ni tatizo wanalo hata watu wazima. Jiongeze utaalam wako.
Na ni zaidi ya ulivyolisema.
Amen-Omba hadi upate majibu
Ukiwa na muda na Mungu, naye atakuwa na muda na wewe. i.e Mpe Mungu quality time, yaani usimpe Mungu muda wa ziada. tenga muda maalumu wa kuongea na Mungu, sio wakati ambao umechoka ndo ukae na Mungu. ikiwa waweza kuwa na muda na rafiki au mume/mke wako kipenzi, si zaidi sana Mungu? jitahidi kuwa na muda mrefu wa kuongea na Mungu/ Muda mrefu wa kuomba. iwe ni mchana au usiku. omba hadi nafsi yako ikushuhudie kuwa kwa hakika nimeongea na Mungu na maombi yangu yamemgusa Mungu
Kuwa na consistency katika maombi.
Kuwa na consistency katika maombi
omba bla kuchoka, na omba kwa target, ikiwezekana uwe na karatasi au mahali ambapo umeorodhesha maombi yako kwa lengo la kufuatilia ombi lipi limeshapata majibu na lipi bado.
usiwe mwombaji wa kulipuka lipuka yaani wiki moja upo moto kimaombi na wiki lingine umezima.
Hii mbinu hata waganga wa kienyeji huitumia ni mbinu nzurii Sana na inatoa majibu ni kua na consistency kwenye maombi na Dua zako bila kusahau kujituma Kuna semi Ina SEMA "Doing the best & God will do the rest"-Omba hadi upate majibu
Ukiwa na muda na Mungu, naye atakuwa na muda na wewe. i.e Mpe Mungu quality time, yaani usimpe Mungu muda wa ziada. tenga muda maalumu wa kuongea na Mungu, sio wakati ambao umechoka ndo ukae na Mungu. ikiwa waweza kuwa na muda na rafiki au mume/mke wako kipenzi, si zaidi sana Mungu? jitahidi kuwa na muda mrefu wa kuongea na Mungu/ Muda mrefu wa kuomba. iwe ni mchana au usiku. omba hadi nafsi yako ikushuhudie kuwa kwa hakika nimeongea na Mungu na maombi yangu yamemgusa Mungu
Kuwa na consistency katika maombi.
Kuwa na consistency katika maombi
omba bla kuchoka, na omba kwa target, ikiwezekana uwe na karatasi au mahali ambapo umeorodhesha maombi yako kwa lengo la kufuatilia ombi lipi limeshapata majibu na lipi bado.
usiwe mwombaji wa kulipuka lipuka yaani wiki moja upo moto kimaombi na wiki lingine umezima.
Kwa sababu mleta mada kaja hapa ana lalamika amekuwa akisali sana kumuomba huyo Mungu, Amtatulie shida zake, Lakini wapi Holaaaa!!Ofcoz!why are you asking obviously?
Tatizo huna utulivu wa moyo wala nafsi,rudia kusoma mada,yeye hajaomba pesa wala msaada kaomba tumwelekeze huwa tunaomba vipi hadi tunajibiwa,na ndivyo waungwana wamemwelekeza na atafanya hivyo,na nina uhakika kwa asilimia 100 Mungu atamjibu...Kwa sababu mleta mada kaja hapa ana lalamika amekuwa akisali sana kumuomba huyo Mungu, Amtatulie shida zake, Lakini wapi Holaaaa!!
Mpaka ameamua kuja kwetu sie binadamu wenzake.
Huyo Mungu unayedai anatoa hela na kuwasaidia watu kama yupo, Basi Anatoa na kusaidia kwa upendeleo na uchoyo sana.
Ndio maana mleta mada Bunchari, amekosa huo msaada wa huyo Mungu, Mpaka kufikia hatua ya kuja kwetu sie binadamu wenzake.
Una uhakika gani na uthibitisho upi huyo Mungu atamjibu kwa asilimia 100?Tatizo huna utulivu wa moyo wala nafsi,rudia kusoma mada,yeye hajaomba pesa wala msaada kaomba tumwelekeze huwa tunaomba vipi hadi tunajibiwa,na ndivyo waungwana wamemwelekeza na atafanya hivyo,na nina uhakika kwa asilimia 100 Mungu atamjibu...
Nakuhakikishia atamjibu kwa asilimia 100 coz najua anayo hiyo power...Una uhakika gani na uthibitisho upi huyo Mungu atamjibu kwa asilimia 100?
Kwa nini uhitaji kumuomba huyo Mungu, Wakati una amini yeye ndiye mwenye Plan za maisha yako tangu kuzaliwa kwako mpaka kufa?
Au plan za huyo Mungu zina dosari na kasoro na zinahitaji marekebisho kupitia sala na maombi yako?
Watu wa Mungu mnajichanganya yani hamueleweki!!Vitu vya kumuomba Mungu.
1.Uzima
2.Afya
3.Baraka.
Ukishakua na hivi. Kua mtu wa kufanya kazi na shukrani tu kwa Mungu wako. The rest unatakiwa ufanye kazi uvipate.
1.Ukitaka mchumba, socialize na watu utapata copy yako.
2.Ukitaka kazi, Ongea na watu watakupa connection
3.Ukutaka gari, Fanya biashara au tafuta kazi usave, utanunua.
Nje ya hapo, utasubiri sana majibu ya maombi na hutapata
Aisee unapinga kwa hoja kuntu. BIG UPUna uhakika gani na uthibitisho upi huyo Mungu atamjibu kwa asilimia 100?
Kwa nini uhitaji kumuomba huyo Mungu, Wakati una amini yeye ndiye mwenye Plan za maisha yako tangu kuzaliwa kwako mpaka kufa?
Au plan za huyo Mungu zina dosari na kasoro na zinahitaji marekebisho kupitia sala na maombi yako?
Ngoja nikuongezee mbinu...achukue Michele na mtama akawa wekee njiwa wale wa mtaani au sehemu smbayo ndege wanaweza kula...! Baada ya hapo ufanye MAOMBI sasaMzee,
Tufafanulie hii mbinu yako maana sijawai isikia popote.
Achana kabisa na twita, insta, telegram na facebook zinadisturb sana 'uwepo', whatsapp nayo sio kabisa labda viberHabari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni