Wenzangu mnaombaje mpaka maombi yenu yanajibiwa?

Wenzangu mnaombaje mpaka maombi yenu yanajibiwa?

Hata uombe non-stop mwaka mzima. Bila kuchukua hatua, hakuna utakachofanikisha.

Maisha ni kitu halisi, si fiction.

Chukua hatua kutatua changamoto zako katika uhalisia.

Maombi ni dhana ya hovyo sana.
 
Unajuaje huna tatizo kama hilo? Umepimwa na wataalamu?
Mimi mwenyewe ni mtaalam mwandamizi senior.

Labda Kama limenianza leo hii hili tatizo nijuavyo hii disorder huwa ni kwa watoto Sana Sana kushindwa kutamka,kutofautisha,kuandika na kusoma some of words.
Kwaio unataka kusema limenianzia utotoni 😊 what a joke.
 
Mimi mwenyewe ni mtaalam mwandamizi senior.

Labda Kama limenianza leo hii hili tatizo nijuavyo hii disorder huwa ni kwa watoto Sana Sana kushindwa kutamka,kutofautisha,kuandika na kusoma some of words.
Kwaio unataka kusema limenianzia utotoni 😊 what a joke.
Ni tatizo wanalo hata watu wazima. Jiongeze utaalam wako.

Na ni zaidi ya ulivyolisema.
 
Mimi naomba mtu ambae ana sala za romani katoriki na maombi yake basi anitumie hata private
 
-Omba hadi upate majibu
Ukiwa na muda na Mungu, naye atakuwa na muda na wewe. i.e Mpe Mungu quality time, yaani usimpe Mungu muda wa ziada. tenga muda maalumu wa kuongea na Mungu, sio wakati ambao umechoka ndo ukae na Mungu. ikiwa waweza kuwa na muda na rafiki au mume/mke wako kipenzi, si zaidi sana Mungu? jitahidi kuwa na muda mrefu wa kuongea na Mungu/ Muda mrefu wa kuomba. iwe ni mchana au usiku. omba hadi nafsi yako ikushuhudie kuwa kwa hakika nimeongea na Mungu na maombi yangu yamemgusa Mungu
Kuwa na consistency katika maombi.

Kuwa na consistency katika maombi
omba bla kuchoka, na omba kwa target, ikiwezekana uwe na karatasi au mahali ambapo umeorodhesha maombi yako kwa lengo la kufuatilia ombi lipi limeshapata majibu na lipi bado.
usiwe mwombaji wa kulipuka lipuka yaani wiki moja upo moto kimaombi na wiki lingine umezima.
Amen
Umemaliza
 
-Omba hadi upate majibu
Ukiwa na muda na Mungu, naye atakuwa na muda na wewe. i.e Mpe Mungu quality time, yaani usimpe Mungu muda wa ziada. tenga muda maalumu wa kuongea na Mungu, sio wakati ambao umechoka ndo ukae na Mungu. ikiwa waweza kuwa na muda na rafiki au mume/mke wako kipenzi, si zaidi sana Mungu? jitahidi kuwa na muda mrefu wa kuongea na Mungu/ Muda mrefu wa kuomba. iwe ni mchana au usiku. omba hadi nafsi yako ikushuhudie kuwa kwa hakika nimeongea na Mungu na maombi yangu yamemgusa Mungu
Kuwa na consistency katika maombi.

Kuwa na consistency katika maombi
omba bla kuchoka, na omba kwa target, ikiwezekana uwe na karatasi au mahali ambapo umeorodhesha maombi yako kwa lengo la kufuatilia ombi lipi limeshapata majibu na lipi bado.
usiwe mwombaji wa kulipuka lipuka yaani wiki moja upo moto kimaombi na wiki lingine umezima.
Hii mbinu hata waganga wa kienyeji huitumia ni mbinu nzurii Sana na inatoa majibu ni kua na consistency kwenye maombi na Dua zako bila kusahau kujituma Kuna semi Ina SEMA "Doing the best & God will do the rest"
 
Ofcoz!why are you asking obviously?
Kwa sababu mleta mada kaja hapa ana lalamika amekuwa akisali sana kumuomba huyo Mungu, Amtatulie shida zake, Lakini wapi Holaaaa!!

Mpaka ameamua kuja kwetu sie binadamu wenzake.

Huyo Mungu unayedai anatoa hela na kuwasaidia watu kama yupo, Basi Anatoa na kusaidia kwa upendeleo na uchoyo sana.

Ndio maana mleta mada Bunchari, amekosa huo msaada wa huyo Mungu, Mpaka kufikia hatua ya kuja kwetu sie binadamu wenzake.
 
Kwa sababu mleta mada kaja hapa ana lalamika amekuwa akisali sana kumuomba huyo Mungu, Amtatulie shida zake, Lakini wapi Holaaaa!!

Mpaka ameamua kuja kwetu sie binadamu wenzake.

Huyo Mungu unayedai anatoa hela na kuwasaidia watu kama yupo, Basi Anatoa na kusaidia kwa upendeleo na uchoyo sana.

Ndio maana mleta mada Bunchari, amekosa huo msaada wa huyo Mungu, Mpaka kufikia hatua ya kuja kwetu sie binadamu wenzake.
Tatizo huna utulivu wa moyo wala nafsi,rudia kusoma mada,yeye hajaomba pesa wala msaada kaomba tumwelekeze huwa tunaomba vipi hadi tunajibiwa,na ndivyo waungwana wamemwelekeza na atafanya hivyo,na nina uhakika kwa asilimia 100 Mungu atamjibu...
 
In maana wale waliozaliwa Viwete pamoja na waathirika wa Polio, Vipofu na Mabubu huwa hawaombi au Mungu hajawahitaka kumjibu hata mmoja wao?
 
Tatizo huna utulivu wa moyo wala nafsi,rudia kusoma mada,yeye hajaomba pesa wala msaada kaomba tumwelekeze huwa tunaomba vipi hadi tunajibiwa,na ndivyo waungwana wamemwelekeza na atafanya hivyo,na nina uhakika kwa asilimia 100 Mungu atamjibu...
Una uhakika gani na uthibitisho upi huyo Mungu atamjibu kwa asilimia 100?

Kwa nini uhitaji kumuomba huyo Mungu, Wakati una amini yeye ndiye mwenye Plan za maisha yako tangu kuzaliwa kwako mpaka kufa?

Au plan za huyo Mungu zina dosari na kasoro na zinahitaji marekebisho kupitia sala na maombi yako?
 
Una uhakika gani na uthibitisho upi huyo Mungu atamjibu kwa asilimia 100?

Kwa nini uhitaji kumuomba huyo Mungu, Wakati una amini yeye ndiye mwenye Plan za maisha yako tangu kuzaliwa kwako mpaka kufa?

Au plan za huyo Mungu zina dosari na kasoro na zinahitaji marekebisho kupitia sala na maombi yako?
Nakuhakikishia atamjibu kwa asilimia 100 coz najua anayo hiyo power...
 
Vitu vya kumuomba Mungu.

1.Uzima
2.Afya
3.Baraka.

Ukishakua na hivi. Kua mtu wa kufanya kazi na shukrani tu kwa Mungu wako. The rest unatakiwa ufanye kazi uvipate.

1.Ukitaka mchumba, socialize na watu utapata copy yako.
2.Ukitaka kazi, Ongea na watu watakupa connection
3.Ukutaka gari, Fanya biashara au tafuta kazi usave, utanunua.

Nje ya hapo, utasubiri sana majibu ya maombi na hutapata
Watu wa Mungu mnajichanganya yani hamueleweki!!
Una uhakika gani na uthibitisho upi huyo Mungu atamjibu kwa asilimia 100?

Kwa nini uhitaji kumuomba huyo Mungu, Wakati una amini yeye ndiye mwenye Plan za maisha yako tangu kuzaliwa kwako mpaka kufa?

Au plan za huyo Mungu zina dosari na kasoro na zinahitaji marekebisho kupitia sala na maombi yako?
Aisee unapinga kwa hoja kuntu. BIG UP
 
Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
Achana kabisa na twita, insta, telegram na facebook zinadisturb sana 'uwepo', whatsapp nayo sio kabisa labda viber
 
Achana na maombi Rudi Kijijini kwenu kafanye matambiko utakuja kunishukuru
 
Back
Top Bottom