Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hujibu maombi kwa wakati wake hachelewi wala hawahuHabari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Soma hii itakusaidia sanaHabari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Asome thread isemayo:
In the jungle of life, Salvation is largely on your hands, There is no God who is there to help you.Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Mbona kuna watu vitombi sana na wamefanikiwa sana??Kuwa na imani na hakikisha kabla ya kuanza kuomba mwili wako uko msafi, usiwe mtu wa kukutana kimwili na watu hovyo wengine wana maroho machafu..!!
Huyo Mungu ameshindwa kujibu maombi ya mleta mada, Ndio maana mleta mada kafikia uamuzi wakuja kuomba ushauri kwetu sie binadamu.Nakuombea Mungu ajibu maombi Yako mkuu
Amini Mungu atajibu tena siku sio
Tunaomba kwa Imani isiyo na shaka. Yaani unamwomba Mungu huku ukiamini umeshapata na ukisema AMINA inakuwa hivyoHabari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Yoda acha uongo em 😂😂Mbona kuna watu vitombi sana na wamefanikiwa sana??
Iko hivi mtu wa Mungu,wewe ni mmoja ya wale wanaofikiria kuwa watu wenye pesa na mali,majumba na kazi nzuri,pamoja na uzima wa afya ni watu waliobarikiwa na Mungu,ukiona unapitia magumu na unamuomba Mungu huku unaishi maisha ya haki na kweli,juwa kuwa Mungu amekukubali,anachokifanya ni kutaka kuhakikisha kuwa uko serious au ukikutana na majaribu utamuacha,usiwazie sana haya maisha ya hapa duniani,wazia kule mbinguni unakotakiwa kwenda,simama imara na huo msimamo wako,hivyo unavowazia sana na kuumiza kichwa ni vya hapa duniani na kila mtu ataviacha,huo ugonjwa pia utapita,wakati wa Mungu ndio wakati sahihi,usikate tamaa,inawezekana kabisa uko karibu kabisa na kuifikia baraka yako lkn shetani anataka kukukatisha tamaa...Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Hapa nakuunga mkono.Waombe msamaha wote uliowajeruhi katika maisha yao ndo na wewe utakuwa huru.
Kuomba ni kujifariji tu, kwanza unamuomba nani?Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni