Wenzangu mnaombaje mpaka maombi yenu yanajibiwa?

Wenzangu mnaombaje mpaka maombi yenu yanajibiwa?

Kanuni yangu ni hii hapa Huwa natoa msaada pale moyo wangu umenigusa Tena kiroho safi, naogea maji ya chumvi mixer na marashi rose mara Moja Moja asubuhi kundoa negative energies, naijari familia yangu yani hicho ni kipaumbele namba Moja kwangu, natake risk kwenye michongo yangu yani silazi damu likiza suala la ridhiki mkono uende kinywani.... Japo changamoto zipo lakini kufail ni mala Moja Moja maisha yanasonga si haba, usidhurumu Cha mtu,, acha wao wakudhurum usiweke kisasi kwamba nimedhurumiwa sehem Wacha nimtafute na Mimi mnyonge wangu nitaripiza( which goes around comes arounds), jifunze ulipokesea sahihisha makosa Yako usirudie makosa Tena songa mbele, jali afya Yako acha ngono nzembe si dili., Nje ya madhara ya kimwili pia inanamadhara makubwa sana kiroho, acha matumizi ya pombe kupindukia n.k... zingatia kwanza haya machache kwa Leo mkuu!
 
Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
Pole kwa unayopitia sasa, ila naomba kuuliza haya maombi unayapeleka wapi?
 
Maombi ya uchonganishi 😄😄 yakoje haya mkuu?
unamchonganisha Mungu na.shetani

mfano

Mungu nilikotoka ni mbali mpaka kufika hapa kwahiyo unataka uniache ili shetani akuzomee kwamba umeshindwa nisaidia.na wakati wewe wewe mwenyewe ulisema niite nitakuitikia je utaki kuitika juu ya ombi langu au shida yangu?
 
Usitoe sadaka Msikitini au kanisani, wasaidie wenye shida moja kwa moja, wajane, mafukara , mayatima hakika utaona mafanikio
Upo sahihi mkuu. Hiyo ni kanunu yangu yangu daima
 
Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
Code ya kujibiwa maombi ni upendo, Mungu ni upendo hivo wafuasi wake wanapaswa kuwa kama yeye.

ikiwa kuna watu unawachukia, unawatakia mabaya, unafurahia maanguko yao hata usali vipi huwezi kuiona nguvu ya mungu ktk maisha yako.

anza kufanya kila kitu kwa upendo ktk maisha yako then uione nguvu ya mungu inavyotenda ktk maisha yako.
 
Labda sadaka yako haiwafikii walengwa
Peleka moja kwa moja kwa wanaohitaji
Je wazazi unaenda kupata Baraka zao?
Au video call inatosha na calls za kawaida?
 
Kuomba ni kujifariji tu, kwanza unamuomba nani?

Mungu? Mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Kama yupo, kwa nini umuombe? Ina maana hajui matatizo yako?

Huoni kwamba kitendo cha kumuomba huyo Mungu ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo, na angekuwepo usingehitaji kumuomba, angekupa unachotaka kabla hujajua unakihitaji, na kile ambacho si kizuri kwako hata usingekitaka?

Huoni kwamba kumuomba Mungu ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo?
Anahitaji uonyeshe unyenyekevu kwake aku bless,
 
Akishahitaji huyo si Mungu tena, huyo ni muhitaji tu kama sisi.
Mfalme au Rais anapohitaji umnyenyekee aku bless anakuwa dhaifu kuliko wewe raia wa kawaida? Haendelei kuwa juu yako?
 
Kuomba ni kujifariji tu, kwanza unamuomba nani?

Mungu? Mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Kama yupo, kwa nini umuombe? Ina maana hajui matatizo yako?

Huoni kwamba kitendo cha kumuomba huyo Mungu ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo, na angekuwepo usingehitaji kumuomba, angekupa unachotaka kabla hujajua unakihitaji, na kile ambacho si kizuri kwako hata usingekitaka?

Huoni kwamba kumuomba Mungu ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo?
Mtu ambae hana uhakika wa kitakachotekea saa 1 lijalo ktk maisha yake ni aibu kuweka hitimisho kua Mungu hayupo.

mtu ambae hawezi kuzuia mambo yalokinyume na mapenzi yake ktk maisha yake ni aibu kusema mungu hayupo.

je, kinachodhibiti mambo nje ya uwezo wetu/kinyume na mapenzi yetu, wewe hukiitaje?
 
Mtu ambae hana uhakika wa kitakachotekea saa 1 lijalo ktk maisha yake ni aibu kuweka hitimisho kua Mungu hayupo.

mtu ambae hawezi kuzuia mambo yalokinyume na mapenzi yake ktk maisha yake ni aibu kusema mungu hayupo.

je, kinachodhibiti mambo nje ya uwezo wetu/kinyume na mapenzi yetu, wewe hukiitaje?

Umeandika kuonesha mapungufu ya kimantiki, logical fallacy. Logical fallacy hii inaitwa non sequitur.

Mimi kutojua nini kitatokea saa moja ijayo si uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Ni uthibitisho kwamba sijui kitakachotokea saa moja lijalo.

Mimi kutoweza kuzuia mambo yaliyo kinyume na mapenzi yangu si uthibitisho Mungu yupo, ni uthibitisho kuwa siwezi kuzuia yaliyo kinyume na mapenzi yangu tu.

Kwa nini unafikiri kuna kimoja kinachodhibiti mambo nje ya uwezo wetu? Unajuaje kuna kimoja tu?
 
Ndugu zangu, ni jambo la kawaida kuhisi kuwa maombi yako hayajibiwi haraka au kwa namna unavyotaka. Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia hili, na ni muhimu kukumbuka kwamba Mungu ana wakati wake mwenyewe.
Mfano Angalia video hii hapa

Hapa kuna baadhi ya mambo unayoweza kufanya wakati unangoja jibu la maombi yako:

Endelea kuomba: Usiache kuomba. Endelea kumwomba Mungu kwa bidii na imani.
Soma Biblia: Neno la Mungu litakutia nguvu na kukupa matumaini wakati wa kusubiri.
Omba kwa wengine: Omba kwa marafiki, familia, au kiongozi wa kiroho ili wakusaliie.
Shukuru: Hata wakati mambo yanaonekana kuwa magumu, shukuru Mungu kwa yale aliyokupa. Shukrani huongeza imani yetu.
Uwe na subira: Mungu ana wakati wake mwenyewe wa kujibu maombi yetu. Uwe na subira na usipoteze tumaini.
Angalia ishara: Mungu anaweza kujibu maombi yako kwa njia ambazo huwezi kuzitarajia. Jifunze kuona ishara na baraka zake.
Jifunze kutoka kwa wengine: Ongea na watu wengine ambao wamepitia hali kama yako. Wanaweza kukushirikisha uzoefu wao na kukupa ushauri.
Mfano hapa


Kumbuka: Mungu anajua kile kinachokufaa zaidi. Ikiwa maombi yako hayajibiwi kwa namna unavyotarajia, inaweza kuwa ni kwa sababu Mungu ana mpango bora zaidi kwako.

Hapa kuna baadhi ya mistari kutoka katika Biblia ambayo inaweza kukutia moyo:

Mathayo 7:7: “Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtaona; bisheni nanyi mtafunguliwa.”
Warumi 8:28: “Na tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wamwapendao, kwa ajili ya mema yao, yaani kwa ajili ya wale walioitwa kwa kadiri ya kusudi lake.”

Usipoteze tumaini. Endelea kuamini katika nguvu za maombi.
Bonyeza kujua zaid hapa
 
Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
Ntarudibaadae
 
Ndugu zangu, ni jambo la kawaida kuhisi kuwa maombi yako hayajibiwi haraka au kwa namna unavyotaka. Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia hili, na ni muhimu kukumbuka kwamba Mungu ana wakati wake mwenyewe.
Mfano Angalia video hii hapa

Hapa kuna baadhi ya mambo unayoweza kufanya wakati unangoja jibu la maombi yako:

Endelea kuomba: Usiache kuomba. Endelea kumwomba Mungu kwa bidii na imani.
Soma Biblia: Neno la Mungu litakutia nguvu na kukupa matumaini wakati wa kusubiri.
Omba kwa wengine: Omba kwa marafiki, familia, au kiongozi wa kiroho ili wakusaliie.
Shukuru: Hata wakati mambo yanaonekana kuwa magumu, shukuru Mungu kwa yale aliyokupa. Shukrani huongeza imani yetu.
Uwe na subira: Mungu ana wakati wake mwenyewe wa kujibu maombi yetu. Uwe na subira na usipoteze tumaini.
Angalia ishara: Mungu anaweza kujibu maombi yako kwa njia ambazo huwezi kuzitarajia. Jifunze kuona ishara na baraka zake.
Jifunze kutoka kwa wengine: Ongea na watu wengine ambao wamepitia hali kama yako. Wanaweza kukushirikisha uzoefu wao na kukupa ushauri.
Mfano hapa


Kumbuka: Mungu anajua kile kinachokufaa zaidi. Ikiwa maombi yako hayajibiwi kwa namna unavyotarajia, inaweza kuwa ni kwa sababu Mungu ana mpango bora zaidi kwako.

Hapa kuna baadhi ya mistari kutoka katika Biblia ambayo inaweza kukutia moyo:

Mathayo 7:7: “Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtaona; bisheni nanyi mtafunguliwa.”
Warumi 8:28: “Na tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wamwapendao, kwa ajili ya mema yao, yaani kwa ajili ya wale walioitwa kwa kadiri ya kusudi lake.”

Usipoteze tumaini. Endelea kuamini katika nguvu za maombi.
Bonyeza kujua zaid hapa
Ukishaomba tu, ujue Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) hayupo.

Angekuwepo, usingekuwa na haja ya kuomba.
 
dawa hawachoki kuomba na niwatoaji kuna misaada ya ajabu tunafurahia Africa inatoka kwenye michango ya watu wa chini kabisa wazungu

Tunapoifurahia kujenga shule ..nk kule Allah hawaachiiii
 
Ndugu zangu, ni jambo la kawaida kuhisi kuwa maombi yako hayajibiwi haraka au kwa namna unavyotaka. Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia hili, na ni muhimu kukumbuka kwamba Mungu ana wakati wake mwenyewe.
Mfano Angalia video hii hapa

Hapa kuna baadhi ya mambo unayoweza kufanya wakati unangoja jibu la maombi yako:

Endelea kuomba: Usiache kuomba. Endelea kumwomba Mungu kwa bidii na imani.
Soma Biblia: Neno la Mungu litakutia nguvu na kukupa matumaini wakati wa kusubiri.
Omba kwa wengine: Omba kwa marafiki, familia, au kiongozi wa kiroho ili wakusaliie.
Shukuru: Hata wakati mambo yanaonekana kuwa magumu, shukuru Mungu kwa yale aliyokupa. Shukrani huongeza imani yetu.
Uwe na subira: Mungu ana wakati wake mwenyewe wa kujibu maombi yetu. Uwe na subira na usipoteze tumaini.
Angalia ishara: Mungu anaweza kujibu maombi yako kwa njia ambazo huwezi kuzitarajia. Jifunze kuona ishara na baraka zake.
Jifunze kutoka kwa wengine: Ongea na watu wengine ambao wamepitia hali kama yako. Wanaweza kukushirikisha uzoefu wao na kukupa ushauri.
Mfano hapa


Kumbuka: Mungu anajua kile kinachokufaa zaidi. Ikiwa maombi yako hayajibiwi kwa namna unavyotarajia, inaweza kuwa ni kwa sababu Mungu ana mpango bora zaidi kwako.

Hapa kuna baadhi ya mistari kutoka katika Biblia ambayo inaweza kukutia moyo:

Mathayo 7:7: “Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtaona; bisheni nanyi mtafunguliwa.”
Warumi 8:28: “Na tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wamwapendao, kwa ajili ya mema yao, yaani kwa ajili ya wale walioitwa kwa kadiri ya kusudi lake.”

Usipoteze tumaini. Endelea kuamini katika nguvu za maombi.
Bonyeza kujua zaid hapa
Kwa nini uhitaji kumuomba huyo Mungu?

Je huyo Mungu hajui matatizo yako, Mpaka umkumbushe kwa kumuomba?

Inaonekana huyo Mungu wenu ni msahaulifu sana, Mpaka Mumkumbushe matatizo yenu.
 
barakaa zao n zaidi ta umeme unaotoka bwawaaaa la .....
 
Back
Top Bottom