Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Mkuu wewe unaweza ukawa huwa husali ila ukawa unaimba sala ya baba yetu ile sio sala haitokusaidia kwa sababu huombi matatizo yako ila unaimba wimbo tuu........Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Wewe omba kwa mungu wako sehemu isiyo na kelele na uombe ukimaanisha halafu jaribu kusaidia hata ombaomba wa mijini hiyo itakusaidia kuliko kufunga sana .
Nb: omba ukiamini kwamba unasikilizwa.........