Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
If you believe that God already planned your life before even you were born, Why do you need to pray?Pray
Pray
Just Pray...
Japo binafsi nikiwa katika deep shit huwa nashindwa kabisa kuomba...
Mungu akukumbuke
If you believe that your life was already planned by God from your birth to death, Why are you praying?
Are you praying to change God's plan in your life?
Kusali kumuomba huyo Mungu ni uthibitisho tosha kwamba huyo Mungu, Ali plan vibaya maisha yako, Sasa unamuomba afanye marekebisho.
Na kwa namna hii huyo Mungu mnayedai na kuamini ni muweza wa vyote na mwenye kujua yote tangu mwanzo wa maisha yako mpaka kifo ni Uongo.
Na huyo Mungu hayupo.