Wenzangu mnaombaje mpaka maombi yenu yanajibiwa?

Wenzangu mnaombaje mpaka maombi yenu yanajibiwa?

Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
Njoo kwenye uislam mkuu, ndiyo dini ya kweli na khaki, huko ulipo unapoteza tu muda wako, mungu hazitambui hizo nyingine.
 
Mfalme au Rais anapohitaji umnyenyekee aku bless anakuwa dhaifu kuliko wewe raia wa kawaida? Haendelei kuwa juu yako?
Mfalme au Rais hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote.

Hivyo, akitaka umnyenyekee aku bless anakuwa na udhaifu wa kuhitaji kunyenyekewa.

Bottom line ni kwamba, huyo Mfalme kuwa na uhitaji si ajabu, kwa sababu ni mtu.

Huyo Mungu kuwa na uhutaji ni ajabu, Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atahitaji vipi?
 
zawadi ya uhai, ulinzi na afya anayokujalia ni sehemu tu kidogo ya majibu ya maombi na ibada zako kwa Mungu.
Mshukuru Mungu kwa kila Jambo 🐒
Huyo Mungu ameshindwa na Hawezi kuwajalia zawadi ya uhai, ulinzi na afya Maelfu ya watoto wachanga na wanawake wanaoteseka na kufa kwa vita, njaa, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani,

Halafu unasema huyo Mungu anajalia ulinzi na uhai?

Uhai gani?

Ulinzi gani?

Afya gani?
FB_IMG_1722976782305.jpg

Screenshot_20240322-225613_1.jpg

Kwanza kama huyo Mungu yupo ni Mungu mkatili, Muovu na bandidu.

Anastahili kufurushwa, Hafai.
 
Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
Kabla ya maombi ni kujitakasa ""Hakikisha unajitakasa""
 
Uwe na imani uwe mvumilivu.
Kuna mkuu wangu wa kituo cha kazi alikuwa abanibania saba semina na vikao. Ikafika kipindi semina za kwenda mimi anamtuma mwingine jamaa anakula per diem ya siku hadi 20 ilifika kipindi nikatafuta mtu wa kunishauri nifanye nn. Priest moja akaniambia kwenye mahakama za duniani utadhulumika ila sio mahakana za mbinguni, nenda kanshitaki kwa MUNGU. Aisee sifurahii yanayompata ila jamaa anateseka. Na mm semina za vikao kila mwezi. MUNGU anajibu maombi
Hii hata mimi iliwahi kunikuta,nilipoamua kumgeukia Mungu nilishangaa maposition yananijia double double mpaka nikawa siamini kinachotokea...
 
Huyo Mungu ameshindwa na Hawezi kuwajalia zawadi ya uhai, ulinzi na afya Maelfu ya watoto wachanga na wanawake wanaoteseka na kufa kwa vita, njaa, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani,

Halafu unasema huyo Mungu anajalia ulinzi na uhai?

Uhai gani?

Ulinzi gani?

Afya gani?View attachment 3088369
View attachment 3088362
Kwanza kama huyo Mungu yupo ni Mungu mkatili, Muovu na bandidu.

Anastahili kufurushwa, Hafai.
Ila wewe jamaa 😊 hujanijibu hoja zangu.
Afadhali ndugu Kiranga huwa ana kichaka chake Cha kujifichia tuna bishana kwa hoja.
😊Naishia kumwambia siku moja atakuja ku MKILI YESU KRISTO WA NAZARETH KUA NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU.

✌️
 
Huyo Mungu ameshindwa na Hawezi kuwajalia zawadi ya uhai, ulinzi na afya Maelfu ya watoto wachanga na wanawake wanaoteseka na kufa kwa vita, njaa, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani,

Halafu unasema huyo Mungu anajalia ulinzi na uhai?

Uhai gani?

Ulinzi gani?

Afya gani?View attachment 3088369
View attachment 3088362
Kwanza kama huyo Mungu yupo ni Mungu mkatili, Muovu na bandidu.

Anastahili kufurushwa, Hafai.
Mungu ana kusudi la Maisha ya kila mwanadamu hapa duniani.

Mathalani huenda hata kusudi la Mungu kukuumba wewe ni kulalamika na kukufuru ili wengine tupate kujifunza maumivu makali ya dhambi ya kumkufuru Mungu utakayokua unapitia endapo atakuchapa kiboko unachostahili...

hata hivyo,
hayo yote yasaidie kutufundisha na kutujengea Imani thabiti kwa Mungu, kuepuka uovu na mambo yenye machukuzo mbele zake,

hili hatimae tufurahie sote zawadi ya uhai na afya, lakini Neema na Baraka za Mungu katika vyote alivyovijaza humu duniani 🐒

ukishupaza shingo, upanga ni Juu yako
 
Njoo kwenye uislam mkuu, ndiyo dini ya kweli na khaki, huko ulipo unapoteza tu muda wako, mungu hazitambui hizo nyingine.
Huyo Mungu wa Uislamu kama hatambui hizo dini nyingine, Aliziachaje na kwa nini aruhusu ziendelee kuwepo ilhali anajua wazi kwamba dini ya haki ni uislamu tu?

Hivi huyo Mungu wenu(Allah), Anajielewa kweli?
 
Mungu ana kusudi la Maisha ya kila mwanadamu hapa duniani.

Mathalani huenda hata kusudi la Mungu kukuumba wewe ni kulalamika na kukufuru ili wengine tupate kujifunza maumivu makali ya dhambi ya kumkufuru Mungu utakayokua unapitia endapo atakuchapa kiboko unachostahili...

hata hivyo,
hayo yote yasaidie kutufundisha na kutujengea Imani thabiti kwa Mungu, kuepuka uovu na mambo yenye machukuzo mbele zake,

hili hatimae tufurahie sote zawadi ya uhai na afya, lakini Neema na Baraka za Mungu katika vyote alivyovijaza humu duniani 🐒

ukishupaza shingo, upanga ni Juu yako
Naunga mkono hoja ASOMAE NA AFAHAMU 😊
 
Habari ndugu zangu

Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi

Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?

Asanteni
jiamini kwa Mungu wako, amini Mungu anakusikia, jiwekee imani kwamba yeye ni baba yako na wewe ni mwanae na ndie aliekuumba, tambua kwamba amejaa rehema, hakuna kosa kubwa ambalo litazidi rehema zake kwako hadi asisikie maombi yako, usikumbuke vidhambi vyakk vya mtaani ivo,


ukiona hauna imani kabisa kwa Mungu kuhusu maombi yako, basi mwambie rehema zake zikuvushe, rehema zake ni mpya kila siku, haziwezi shindwa regardless ya dhambi zako, you are not tooo sinfull to pray.


Mungu akuvushe mpendwa
 
Mungu ana kusudi la Maisha ya kila mwanadamu hapa duniani.
Kwanza huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Mathalani huenda hata kusudi la Mungu kukuumba wewe ni kulalamika na kukufuru ili wengine tupate kujifunza maumivu makali ya dhambi ya kumkufuru Mungu utakayokua unapitia endapo atakuchapa kiboko unachostahili...
Hakuna Mungu aliyeumba binadamu.

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile
hata hivyo,
hayo yote yasaidie kutufundisha na kutujengea Imani thabiti kwa Mungu, kuepuka uovu na mambo yenye machukuzo mbele zake,
Huyo Mungu kama yupo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu?

Huyo Mungu kama yupo, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu, wasio na uwezo wa kutenda maovu?

Hivi huyo Mungu wako anajielewa kweli?
hili hatimae tufurahie sote zawadi ya uhai na afya, lakini Neema na Baraka za Mungu katika vyote alivyovijaza humu duniani 🐒
Maelfu ya watu wanateseka hapa duniani licha ya kusali, kufunga na kumuomba huyo Mungu awasaidie matatizo yao, Lakini nothing happens.
ukishupaza shingo, upanga ni Juu yako
Nakwambia hivi, Huyo Mungu kama yupo ni Mungu Muovu, Katili, Mbaya na Bandidu.

Huyo Mungu hafai, Anapaswa kufurushwa.
 
Ila wewe jamaa 😊 hujanijibu hoja zangu.
Afadhali ndugu Kiranga huwa ana kichaka chake Cha kujifichia tuna bishana kwa hoja.
😊Naishia kumwambia siku moja atakuja ku MKILI YESU KRISTO WA NAZARETH KUA NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU.

✌️
Wewe jifunze tofauti ya L na R katika Kiswahili kwanza kabla ya kunitajataja kwenye posts zako.

Utabishana na mimi hoja wakati hata Kiswahili hujui?

What are you trying to prove? That you are a country bumpkin?
 
Ila wewe jamaa 😊 hujanijibu hoja zangu.
Afadhali ndugu Kiranga huwa ana kichaka chake Cha kujifichia tuna bishana kwa hoja.
😊Naishia kumwambia siku moja atakuja ku MKILI YESU KRISTO WA NAZARETH KUA NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU.

✌️
Hata Muislamu atakwambia wewe, ipo siku utakuja kumkiri Allah kama Mnyaazi Mungu wa Maisha yetu.

Ulicho kifanya hapa ni kutetea imani yako ya huyo Yesu Kristo.

Kitu ambacho hata mtu wa imani nyingine atafanya hivyo hivyo.

Huyo Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Umeandika kuonesha mapungufu ya kimantiki, logical fallacy. Logical fallacy hii inaitwa non sequitur.

Mimi kutojua nini kitatokea saa moja ijayo si uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Ni uthibitisho kwamba sijui kitakachotokea saa moja lijalo.

Mimi kutoweza kuzuia mambo yaliyo kinyume na mapenzi yangu si uthibitisho Mungu yupo, ni uthibitisho kuwa siwezi kuzuia yaliyo kinyume na mapenzi yangu tu.

Kwa nini unafikiri kuna kimoja kinachodhibiti mambo nje ya uwezo wetu? Unajuaje kuna kimoja tu?
Kutodhibiti mambo yalokinyume na mapenzi yetu ni uthibitisho kuna nguvu iliojuu ya uwezo wetu inayothibiti mambo, ambayo watu wa dini wanaiita MUNGU na wasioamini dini wanaiita NATURE.
 
Wewe jifunze tofauti ya L na R katika Kiswahili kwanza kabla ya kunitajataja kwenye posts zako.

Utabishana na mimi hoja wakati hata Kiswahili hujui?

What are you trying to prove? That you are a country bumpkin?
Nimependa ilo neno bumpkin lilivyo tumika (boga)
Asante
 
Kutodhibiti mambo yalokinyume na mapenzi yetu ni uthibitisho kuna nguvu iliojuu ya uwezo wetu inayothibiti mambo, ambayo watu wa dini wanaiita MUNGU na wasioamini dini wanaiita NATURE.
Unajuaje kuna nguvu moja na si nyingi tofauti?

Nimekuukiza swali hiki, hujajibu.

Unahakikishaje nguvu hiyo ni Mungu na si kitu k8ngine chochote?

Umelazimisha tu kitu usichokijua kiwe Mungu.

Thibitisha hiyo nguvu ni Mungu.

Mimi nimeeleza very specific Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Hiyo nguvu yako ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
 
Hata Muislamu atakwambia wewe, ipo siku utakuja kumkiri Allah kama Mnyaazi Mungu wa Maisha yetu.

Ulicho kifanya hapa ni kutetea imani yako ya huyo Yesu Kristo.

Kitu ambacho hata mtu wa imani nyingine atafanya hivyo hivyo.

Huyo Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Sawa
 
Back
Top Bottom