Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
tumia vifungu vya.baible na maombi ya uchonganish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishaenda kwa Mwamposa?Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Katika ulimwengu wa Roho maombi huwa yanajibiwa kwa wakati huku kwenye mwili sio kwamba mambo yanachelewa ila vile Mungu huwa anaandaa njia mpya ya mtu kupata mafanikio tofauti na matarajio ya wengiMungu hujibu maombi kwa wakati wake hachelewi wala hawahu
Soma hii itakusaidia sana
Thread 'Miaka ya neema, miaka ya uharibifu' Miaka ya neema, miaka ya uharibifu
Kawachote wajinga weweKuomba ni kujifariji tu, kwanza unamuomba nani?
Mungu? Mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?
Kama yupo, kwa nini umuombe? Ina maana hajui matatizo yako?
Huoni kwamba kitendo cha kumuomba huyo Mungu ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo, na angekuwepo usingehitaji kumuomba, angekupa unachotaka kabla hujajua unakihitaji, na kile ambacho si kizuri kwako hata usingekitaka?
Huoni kwamba kumuomba Mungu ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo?
Dah aombe bila kuchoka ,huku akiangalia life wenzake wana ajira wanasukuma gari mpya,mboga saba ,familia inamtegemea ,system haimtambui .Swali zuri, omba bila kuchoka, na uamini kile unachokiomba kimekua chako
Nimejenga hoja ya kifalsafa.Kawachote wajinga wewe
Kila jambo na wakati wake ndugu, zamu Yako ipo karibu....ukiona Giza linazid kuwa nene ujue kunakaribia kupambazuka.....usikate tamaa.Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Achana na kuomba, fanya action.Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni
Huyu jamaa Yuko sahihi, Mungu anakuwazia mema, kuwa mvumilivu, ukitoka relini kwisha habari yakoIko hivi mtu wa Mungu,wewe ni mmoja ya wale wanaofikiria kuwa watu wenye pesa na mali,majumba na kazi nzuri,pamoja na uzima wa afya ni watu waliobarikiwa na Mungu,ukiona unapitia magumu na unamuomba Mungu huku unaishi maisha ya haki na kweli,juwa kuwa Mungu amekukubali,anachokifanya ni kutaka kuhakikisha kuwa uko serious au ukikutana na majaribu utamuacha,usiwazie sana haya maisha ya hapa duniani,wazia kule mbinguni unakotakiwa kwenda,simama imara na huo msimamo wako,hivyo unavowazia sana na kuumiza kichwa ni vya hapa duniani na kila mtu ataviacha,huo ugonjwa pia utapita,wakati wa Mungu ndio wakati sahihi,usikate tamaa,inawezekana kabisa uko karibu kabisa na kuifikia baraka yako lkn shetani anataka kukukatisha tamaa...
Maombi ya uchonganishi 😄😄 yakoje haya mkuu?tumia vifungu vya.baible na maombi ya uchonganish
zawadi ya uhai, ulinzi na afya anayokujalia ni sehemu tu kidogo ya majibu ya maombi na ibada zako kwa Mungu.Habari ndugu zangu
Naomba kuelekezwa namna ya kuomba maombi yangu yakajibiwa,kama kusali nasali sana,kufunga nafunga sana,kutoa sadaka natoa ila maisha yangu yameandamwa na magonjwa ya ajabu,kutofanikiwa na kukosa kazi
Sasa wapi ninakosea au mimi sijui kuomba ndugu zangu,kwani ninyi mnafanyaje?
Asanteni