Wenzangu mnatoa wapi mada za kuanzisha?

habari wakuu,

sema humu ndani jf kuna raha sana..mimi napendelea kupitia machapisho ya watu na kusoma na kufurahia, sinaga hata cha kuandika maskiniπŸ™πŸ™..
hv mnatoaga wapi mambo ya kuchapisha kila siku wenzangu.😡
Hilo swali uliyouliza ni mada tayari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…