Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hivi hapo ikishushwa ile atomic bomb kama ile ya Yiroshima kule Japan bado atasalia mtu hapo?Aibu kubwa sana unakuta Kiongozi wa Ccm ana Shangingi V 8 lakini watoto wanakaa chini na shule haina majengo huku wamevaa Yeboyebo.
View attachment 2131611
Huko Ukraine wanajenga mahandaki ya kujificha ili mabomu ya adui yasiwadhuru. Hii ina maana wanatumia pesa ya umma vyema
View attachment 2131612
Kuwa na adabu japo kidogo. Huoni miundombinu ya mkopo nafuu wa Uviko na ile ya tozo!!!!!!!?Aibu kubwa sana unakuta Kiongozi wa Ccm ana Shangingi V 8 lakini watoto wanakaa chini na shule haina majengo huku wamevaa Yeboyebo.
View attachment 2131611
Huko Ukraine wanajenga mahandaki ya kujificha ili mabomu ya adui yasiwadhuru. Hii ina maana wanatumia pesa ya umma vyema
View attachment 2131612
Ccm wametufanya masikini,! nipemaoni yakoKuwa na akili hata siku moja.
Jengeni shule sasa.Sisi tuna amani, hatuhitaji hizo bomb shelter...
CCM hoyeeeee....teh teh tehBomb shelter mbali sana mkuu,
Vyoo tu vya kukalia hatuna.
Bado watu wanakwenda vichakani.
Huyo ni MATAGAWe kamanda uchwara
Hata chadema wakipewa nchi hamna cha maana kitakachofanyika
Wanasiasa wa Africa ni walafi kupitiliza
Nchi gani Africa inayoongozwa na wapinzani yenye maendeleo?
mkosa akili wwAibu kubwa sana unakuta Kiongozi wa Ccm ana Shangingi V 8 lakini watoto wanakaa chini na shule haina majengo huku wamevaa Yeboyebo.
View attachment 2131611
Huko Ukraine wanajenga mahandaki ya kujificha ili mabomu ya adui yasiwadhuru. Hii ina maana wanatumia pesa ya umma vyema
View attachment 2131612
Hakuna handaki la kuzuia kombora bwana hebu acha kudanganya watuAibu kubwa sana unakuta Kiongozi wa Ccm ana Shangingi V 8 lakini watoto wanakaa chini na shule haina majengo huku wamevaa Yeboyebo.
View attachment 2131611
Huko Ukraine wanajenga mahandaki ya kujificha ili mabomu ya adui yasiwadhuru. Hii ina maana wanatumia pesa ya umma vyema
View attachment 2131612