Wenzetu wenye Akili Yanga SC Chief Scout wao ni Ali Mayai wanafanya vyema, Sisi Matutusa tumeletewa Tutusa la Kiholanzi Kutusajilia

Wenzetu wenye Akili Yanga SC Chief Scout wao ni Ali Mayai wanafanya vyema, Sisi Matutusa tumeletewa Tutusa la Kiholanzi Kutusajilia

Unazungumzia Magori mtu ambaye amewaleta kina kiyombo na Banda pale Simba angalau Yule kibu ana nafuu lakini Kwa tunaojuwa wachezaji WA Magori hakuna kitu pale shida ya
 
Lugha ya Picha
20230526_134021.jpg
 
Ali Mayai pamoja na kwamba Wewe ni Yanga SC ila nakukubali mno kwa kujua Kwako Mpira ambao pia Umeucheza kwa Mafanikio kwa ngazi ya Klabu na Timu ya Taifa.

GENTAMYCINE natambua kuwa kwa 99.99% huu Usajili wa Wachezaji mahiri wa Yanga SC ( hasa hawa wa Kigeni ) umetokana na Jicho lako Kali la Kiufundi huku Usajili wa ndani ( Wachezaji wa Ndani ) Kazi nzuri inafanywa na Kaka yangu Mtoto wa Mjini Ramadhan Kampira.

Wakati Yanga SC ikiwa na Local Scouts hawa ( Mayai na Kampira ) inafanya vyema huko ( kule ) Simba SC tumeletewa Tutusa la Kiholanzi yaani limekaa weeeeeee Tandale Uzuri likapata na Mademu wa Kiswahili na muda mwingi linashinda Runingani kutazama Soka la Bongo na la Ulaya huku likiwa limevalia Jezi Feki ya Simba SC leo ndiyo anateuliwa kuwa Chief of Scout wa Simba SC.

Simba SC hii ninayoifahamu Mimi Chief of Scout angekuwa ni Poti wangu na Tajiri Crescetius Magori au Beki wetu Katili wa zamani na Mfia Timu Boniface Pawassa au Nahodha wetu Msomi wa zamani na Mtoto wa Msasani Kisiwani Renatus Njohole ( aishiye Sweden kwa sasa ) wangefanya vyema Kiusajili kuliko hili Tutusa la Kiholanzi liishilo Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC.

Na hata Mimi tu GENTAMYCINE ningeteuliwa hiyo Nafasi ya Chief of Scout na nikapewa Fungu na niruhusiwe Kuchagua Wasaidizi wangu Wawili tu ( Watu wa Mpira hasa ) nina uhakika ningetafuta Wachezaji wangu hatari Saba ( 7 ) kisha ningewaambia Simba SC ( Uongozi ) kuwa kama Wachezaji niliowaleta Mimi wasipofanya maajabu na Kuifikisha Simba SC ama Nusu Fainali ya CAFCL au Fainali ya CAFCC ya Msimu ujao na Kuchukua Ubingwa Waninyonge Hadharani kama sehemu ya Adhabu yangu.

Na najua Mashabiki wa Simba SC tulivyo Matutusa ( Majuha ) basi hii Taarifa ya huyu Tapeli wa Kiholanzi aishiye Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC Mels Daalder tutaifurahia Usiku Kucha na Mchana kuliko hata Yanga SC ambao wameshatuacha Kimafanikio na huenda tarehe 28 May, 2023 wakaanza Kuushangilia Ubingwa wa CAFCC na tarehe 3 June, 2023 wakauchukua kabisa mbele ya Ardhi ya Mwarabu Kwake nchini Algeria.

Kama tu Mwekezaji Wetu ni Samjo Samjo Panjuani ( Muongo Muongo Tapeli ) aliyetuambia katuwekea Tsh 20 Billion ( zisizoonekana katika Benki yoyote hapa Tanzania ) unategemea asiendelee tu Kutuletea na Kututeulia Masamjo Panjuani Wenzake?

Kuna Mambo yananikasirisha sana!!!
Wewe jamaa ujuaji mwingi mtu hata kazi hajaanza unaleta porojo zako hapa.
 
INSHORT.

Jamaa yupo kama chambo tu
Danganya Toto. Hawezi kufanya usajili wa mchezaji yoyote

Simba wametafuta sehemu ya kudanganyishia mashabiki,
Kichaka Cha kujifichia.NA KUWAPOTEZA yanga maboya.

Trending ya yanga ilikuwa kubwa Kila kona na mitandaoni .
wamepata Agenda mbili za kupunguza moto wao

1. SCAUT.
2. MICHANGO YA FEITOTO.

MO ACHA CHPLI CHUPLI.
MPIRA NI UWEKEZAJI YANGA WANATAMBA MIAKA MI WILI LIGI NA FA KWA SABABU YA UWEKEZAJI WAO..

MUHINDI BAHILI MNO.
SIJAWAHI KUONA TAJIRI WA KIHINDI ANAMILIKI TIMU ZAIDI YA MWAMEDI
Uko sahihi.
 
Ali Mayai pamoja na kwamba Wewe ni Yanga SC ila nakukubali mno kwa kujua Kwako Mpira ambao pia Umeucheza kwa Mafanikio kwa ngazi ya Klabu na Timu ya Taifa.

GENTAMYCINE natambua kuwa kwa 99.99% huu Usajili wa Wachezaji mahiri wa Yanga SC ( hasa hawa wa Kigeni ) umetokana na Jicho lako Kali la Kiufundi huku Usajili wa ndani ( Wachezaji wa Ndani ) Kazi nzuri inafanywa na Kaka yangu Mtoto wa Mjini Ramadhan Kampira.

Wakati Yanga SC ikiwa na Local Scouts hawa ( Mayai na Kampira ) inafanya vyema huko ( kule ) Simba SC tumeletewa Tutusa la Kiholanzi yaani limekaa weeeeeee Tandale Uzuri likapata na Mademu wa Kiswahili na muda mwingi linashinda Runingani kutazama Soka la Bongo na la Ulaya huku likiwa limevalia Jezi Feki ya Simba SC leo ndiyo anateuliwa kuwa Chief of Scout wa Simba SC.

Simba SC hii ninayoifahamu Mimi Chief of Scout angekuwa ni Poti wangu na Tajiri Crescetius Magori au Beki wetu Katili wa zamani na Mfia Timu Boniface Pawassa au Nahodha wetu Msomi wa zamani na Mtoto wa Msasani Kisiwani Renatus Njohole ( aishiye Sweden kwa sasa ) wangefanya vyema Kiusajili kuliko hili Tutusa la Kiholanzi liishilo Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC.

Na hata Mimi tu GENTAMYCINE ningeteuliwa hiyo Nafasi ya Chief of Scout na nikapewa Fungu na niruhusiwe Kuchagua Wasaidizi wangu Wawili tu ( Watu wa Mpira hasa ) nina uhakika ningetafuta Wachezaji wangu hatari Saba ( 7 ) kisha ningewaambia Simba SC ( Uongozi ) kuwa kama Wachezaji niliowaleta Mimi wasipofanya maajabu na Kuifikisha Simba SC ama Nusu Fainali ya CAFCL au Fainali ya CAFCC ya Msimu ujao na Kuchukua Ubingwa Waninyonge Hadharani kama sehemu ya Adhabu yangu.

Na najua Mashabiki wa Simba SC tulivyo Matutusa ( Majuha ) basi hii Taarifa ya huyu Tapeli wa Kiholanzi aishiye Tandale na Jezi yake Feki ya Simba SC Mels Daalder tutaifurahia Usiku Kucha na Mchana kuliko hata Yanga SC ambao wameshatuacha Kimafanikio na huenda tarehe 28 May, 2023 wakaanza Kuushangilia Ubingwa wa CAFCC na tarehe 3 June, 2023 wakauchukua kabisa mbele ya Ardhi ya Mwarabu Kwake nchini Algeria.

Kama tu Mwekezaji Wetu ni Samjo Samjo Panjuani ( Muongo Muongo Tapeli ) aliyetuambia katuwekea Tsh 20 Billion ( zisizoonekana katika Benki yoyote hapa Tanzania ) unategemea asiendelee tu Kutuletea na Kututeulia Masamjo Panjuani Wenzake?

Kuna Mambo yananikasirisha sana!!!
Mlete mthungu
 
Marekebisho kdg, Renatus Njohole hakai msasani, anakaa Mikocheni A ,na pia haishi Sweden anaishi Uswizi
 
Naskia usajili wake wa kwanza umenscout mpemba mmoja mla ugali kwa sugar,utopolo watasaga meno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanaomponda Mo Dewji kuwa hatoi pesa watueleze wao wametoa shilingi ngapi katika zile 51% za hisa za wanachama wa Simba katika kusaidia suala zima la usajili na uendeshwaji wa Timu ya Simba Sc.

Wakishatoa hizo takwimu ndio tutajua kati ya Mo Dewji ambaye ana miliki 49% ya hisa zote

Na hao wanaojidai kumiliki 51% ya hisa zote nani ametoa pesa za usajili katika kipindi cha miaka 5 iliyopita katika klabu ya Simba.

Hapo ndio tutajua nani Samjo samjo panjuani !
 
Wanaomponda Mo Dewji kuwa hatoi pesa watueleze wao wametoa shilingi ngapi katika zile 51% za hisa za wanachama wa Simba katika kusaidia suala zima la usajili na uendeshwaji wa Timu ya Simba Sc.

Wakishatoa hizo takwimu ndio tutajua kati ya Mo Dewji ambaye ana miliki 49% ya hisa zote

Na hao wanaojidai kumiliki 51% ya hisa zote nani ametoa pesa za usajili katika kipindi cha miaka 5 iliyopita katika klabu ya Simba.

Hapo ndio tutajua nani Samjo samjo panjuani !
Unajua Mo ameichafua jezi yote ya Simba kwa matangazo yake ya biashara?, unajua angetumia kiasi gani kutangaza hizo biashara zake kwenye vyombo vya habari?.

Unajua washabiki wanatumia nguvu gani kutangaza biashara za Mo pindi wavaapo jezi za Simba?, ukipata majibu kwa kuanzia utakuwa umeshapata majibu ya mchango wa washabiki
 
Unajua Mo ameichafua jezi yote ya Simba kwa matangazo yake ya biashara?, unajua angetumia kiasi gani kutangaza hizo biashara zake kwenye vyombo vya habari?.

Unajua washabiki wanatumia nguvu gani kutangaza biashara za Mo pindi wavaapo jezi za Simba?, ukipata majibu kwa kuanzia utakuwa umeshapata majibu ya mchango wa washabiki
Kwa mwaka anatumia zaidi ya bilioni 5 kuigharamikia Simba sc.Sasa unieleze gharama za matangazo kwenye vyombo vya habari zinafika hiyo 5B?
 
INSHORT.

Jamaa yupo kama chambo tu
Danganya Toto. Hawezi kufanya usajili wa mchezaji yoyote

Simba wametafuta sehemu ya kudanganyishia mashabiki,
Kichaka Cha kujifichia.NA KUWAPOTEZA yanga maboya.

Trending ya yanga ilikuwa kubwa Kila kona na mitandaoni .
wamepata Agenda mbili za kupunguza moto wao

1. SCAUT.
2. MICHANGO YA FEITOTO.

MO ACHA CHPLI CHUPLI.
MPIRA NI UWEKEZAJI YANGA WANATAMBA MIAKA MI WILI LIGI NA FA KWA SABABU YA UWEKEZAJI WAO..

MUHINDI BAHILI MNO.
SIJAWAHI KUONA TAJIRI WA KIHINDI ANAMILIKI TIMU ZAIDI YA MWAMEDI
Huna Akili.






Yaani kwakuwa yanga wanacheza kombe la losers basi shughuli za nchi nzima zisimame?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mwaka anatumia zaidi ya bilioni 5 kuigharamikia Simba sc.Sasa unieleze gharama za matangazo kwenye vyombo vya habari zinafika hiyo 5B?
Unajua kuwa kwenye kila mapato yatokanayo na Simba anapata mgawo wa 49%?, mfano mapato yote yatokanayo na wadhamini, viingilio, jezi, matangazo n.k bado anachukua mpunga.
Simba ikiingiza 10B kwa mwaka jua 4.9B inaenda kwa Mo.

Kama unadhani Mo anapata hasara kwa nini ameiganda Simba zaidi ya kupe?, kwa ufupi hakuna mtu dunia hii anayefanya biashara ya hasara miaka kadhaa mfululizo na akalazimisha kuendelea nayo kwa gharama yeyote.


Kuna nyakati Mo huwa anasusa susa mithili ya panya mwenye mimba, lakini akikumbuka faida za kibiashara anazopata kwa msaada wa Simba kesho yake anarejea kundini kwa kasi ya upepo
 
Huna Akili.






Yaani kwakuwa yanga wanacheza kombe la losers basi shughuli za nchi nzima zisimame?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka hii miwili mfululizo Simba ana kombe gani?, huku ligi ya FA na NBC kote ametoka patupu, unahisi kwa nini Simba ambaye siyo loser hajaokota chochote?
 
Back
Top Bottom