Nimesoma ramani nimeona tayari
Blaki Womani keshaenda kwa bepari la kihaya
Ruttashobolwa lakini haina shida bado sipumulii drip.
Erickb52 naona kama unabeep badala ya kupiga,
Preta namshangaa ni kama anajifanya haoni offer ya
Mr Rocky!!!! Hapo sasa
Mungi kama kachanganyikiwa tangu agundue siasa haina dili, hajua ang'oke na nani yaani yeye wote wazuri tu!!!
Madame B baada ya kuelewa ratiba nzima hana wasiwasi hajui kama
PakaJimmy hatabadilika baada ya kumuona
cacico,
Kipipi bila kujali wa awali ni awali maana wakina
Asprin aka babu wao ni wazoefu watatumia uzoefu kuushangaza umma.
Finest yuko busy kama Bush alivyokuwa anamsaka Osama!!!
Bigirita ndiyo kama kasusa kabisa maana mpaka saizi hajasema lolote!!!!
FirstLady yeye ni kama mkoloni kamnyima ruksa na hivyo anaona uchungu hata kupitia uzi huu.
Jamani
WiseLady kwa kweli tumekumiss wakati ukija kuhesabiwa usikose kupitia pande hizi bila kumsahau jemedali
Kimey ambaye siku hizi yupo kama hayupo.
Wakongwe kama
Bishanga sijui kaona dalili ya kilala doro, mbona kimya???
Back to
Filipo anahangaika kuimarisha lindo kwa
marejesho tangu apewe angalizo la vipanga kuwepo!!!!
Lily Flower beat la
Mungi limemtouch na kutepeta tehe tehe.