Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Nabook kwako Preta kwa Madame B BADILI TABIA cacico gfsonwin King'asti lara 1 Kongosho marejesho Lily Flower Kipipi (km akiwepo) Zinduna Erotica afrodenzi FirstLady1 sweetlady Yummy YNNAH snowhite FP Remmy charminglady Elizabeth Dominic Mwa J Dena Amsi Catherine Smile ila Blaki Womani namwachia Mzee wa Rula aliyeshika kijiti baada ya Arushaone kula buti la chogo.
Onyo....
Msiguse watu hawa..
Amyner yeye km kawa kajituliza kwa kasuku wake (mimi)

kijana hiyo inaitwa 50sm
naanda wimbo wa RIP
 
bebiii....nakuona unachungulia....nihakikishie kama tutanatana siku hiyo.....
 
Safi sana,..ngoja nipange vizuri mikakati ya kubrash viatu..ili siku ikifika niwe free.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu PakaJimmy itapendeza sana kama tutakutana na mamembers wa kutoka chumvini (dar), lakini tuhakikishe tunaimarisha ulinzi wa kutosha kwa warembo wetu Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, marejesho na wengine kutoka Arusha, manake bana hawa jamaa wa kule hawaaminiki kabisa, ukizingatia akina Bishanga, Ruttashobolwa, Chilli wakiongozwa na mkaguzi babu Asprin.

Erickb52, Arushaone, Filipo, Mr Rocky na mlokole Mzee wa Rula tuhakikishe tunachafua hali ya hewa kwa warembo akina Madame B, charminglady, FirstLady na wengine bila kuogopa kwenda selo, bali tuhakikishe tumeacha mbegu kwa hawa jamaa...................................... kwa pamoja tunaweza
Ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!

Tokea alienda pale Survey, panaitwaje tena??..sijui brajeck(ile shughuli iliyododa)...!!, hajarudi tena!!
Sijui mambo ya babu Asprin!!
Khaaaaaaa!!

huyo babu Asprin mbona hawezi kuleta madhara kwa mkwewe! Usimpakazie bana!

Na Hili Ndilo Neno La Mungu.

Enenda kwa amani kijana wangu, usitende tena dhambi.
 
Hawa warembo wana fanya moyo uende mbio! Hivi haiwezekani mungi na Erick B52 wakazuiwa kwenda kwenye hiyo safari?

Mkuu mimi na Erickb52 ndo washika pembe.................. andika umeumia, usisahau kuja na dawa ya maumivu mazee
 
Last edited by a moderator:
Duuuh bora muendelee kushika mapembe mpaka ntakapo fika lasivyo mtanasa!

Mkuu mimi na Erickb52 ndo washika pembe.................. andika umeumia, usisahau kuja na dawa ya maumivu mazee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom