Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,534
- 11,449
Nachokaje sasa?
Hyo ni thirtySome.
Nyie tulieni mtapewa mtapewa mambo murua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nachokaje sasa?
Hyo ni thirtySome.
Nabook kwako Preta kwa Madame B BADILI TABIA cacico gfsonwin King'asti lara 1 Kongosho marejesho Lily Flower Kipipi (km akiwepo) Zinduna Erotica afrodenzi FirstLady1 sweetlady Yummy YNNAH snowhite FP Remmy charminglady Elizabeth Dominic Mwa J Dena Amsi Catherine Smile ila Blaki Womani namwachia Mzee wa Rula aliyeshika kijiti baada ya Arushaone kula buti la chogo.
Onyo....
Msiguse watu hawa..
Amyner yeye km kawa kajituliza kwa kasuku wake (mimi)
We kijana unahatari itabidi uweke na first aid kit pembeni kah!, angalia usije ukajilema bure.
Hivi kile kibuti kilikuwa ni ndovu Blaki Womani ?
Yapi hayo? Nakumbuka ilijimuvuzisha kwa Mzee wa Rula au sio Filipo ?
kijana hiyo inaitwa 50sm
naanda wimbo wa RIP
mzizimkavu atakuwa sambamba na mimi kunipa huduma ya kwanza km ikibidi
Mungi ondoa wasi wasi arusha wing imekamilika kila idara
Akiwepo Erickb52, Arushaone, wewe mwenyewe Mungi, PakaJimmy, Mzee wa Rula nafikiri ukichanganya na warembo wetu Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady na wengineo ni balaaa. Preta naomba booking hapo
Hawa warembo wana fanya moyo uende mbio! Hivi haiwezekani mungi na Erick B52 wakazuiwa kwenda kwenye hiyo safari?
Ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!Mkuu PakaJimmy itapendeza sana kama tutakutana na mamembers wa kutoka chumvini (dar), lakini tuhakikishe tunaimarisha ulinzi wa kutosha kwa warembo wetu Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, marejesho na wengine kutoka Arusha, manake bana hawa jamaa wa kule hawaaminiki kabisa, ukizingatia akina Bishanga, Ruttashobolwa, Chilli wakiongozwa na mkaguzi babu Asprin.
Erickb52, Arushaone, Filipo, Mr Rocky na mlokole Mzee wa Rula tuhakikishe tunachafua hali ya hewa kwa warembo akina Madame B, charminglady, FirstLady na wengine bila kuogopa kwenda selo, bali tuhakikishe tumeacha mbegu kwa hawa jamaa...................................... kwa pamoja tunaweza
Khaaaaaaa!!Tokea alienda pale Survey, panaitwaje tena??..sijui brajeck(ile shughuli iliyododa)...!!, hajarudi tena!!
Sijui mambo ya babu Asprin!!
huyo babu Asprin mbona hawezi kuleta madhara kwa mkwewe! Usimpakazie bana!
MziziMkavu atakuwa sambamba na mimi kunipa huduma ya kwanza km ikibidi
Hawa warembo wana fanya moyo uende mbio! Hivi haiwezekani mungi na Erick B52 wakazuiwa kwenda kwenye hiyo safari?
Hawa warembo wana fanya moyo uende mbio! Hivi haiwezekani mungi na Erick B52 wakazuiwa kwenda kwenye hiyo safari?
inawezekana kabisa....unataka iwe hivyo nikufanyie uwezekano.......?
Wasipoenda Mungi na Erickb52 tutapungikiwa nguvu ......... za utalii unajua hawa ndio ma tua lidas, acha hiyo maneno Ruttashobolwa.