Sisi hatuna mashaka na warembo wetu, mpango uliopo ni kuhakikisha tunapanda mbegu huko, angalau mjulikane kuwa na nyie wamo.
ili kufanikisha hilo, mimi,
Erickb52,
Arushaone,
Mr Rocky,
Filipo (japo anataka kutuzingua na
marejesho), pamoja na mlokole
Mzee wa Rula tunahakikisha tunapanga strategies ya kuwa karibu. Kwa kuanza na mpango mkakati sasa, PM zimeshaanza kuwasiliana na
Madame B,
charminglady,
FirstLady,
Zinduna,
snowhite,
cacico,
Kipipi,
Natalia,
Erotica na
gfsonwin............. kwa PM za awali mambo yanaenda vizuri,
Kipipi anatamani iwe leo, kwahiyo
Mr Rocky ambaye ndo tunamkabidhi
Kipipi tumemwelekeza chakufanya kuhakikisha hatemekiwi.