Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Duuuh bora muendelee kushika mapembe mpaka ntakapo fika lasivyo mtanasa!

Mkuu ulinzi umeimarishwa, ukizingatia warembo wetu ni wakali................... yaani utaona kama kituo cha polisi mazee
 
Wee acha mchezo kule Tanga hakuitajiki polisi wewe na utashangaa! Ni tego tu na kuhakikishia ukiendelea na huo mchezo wa kuwalinda hao warembo utabaki barabara ya 7

Mkuu ulinzi umeimarishwa, ukizingatia warembo wetu ni wakali................... yaani utaona kama kituo cha polisi mazee
 
Wee acha mchezo kule Tanga hakuitajiki polisi wewe na utashangaa! Ni tego tu na kuhakikishia ukiendelea na huo mchezo wa kuwalinda hao warembo utabaki barabara ya 7

Sisi hatuna mashaka na warembo wetu, mpango uliopo ni kuhakikisha tunapanda mbegu huko, angalau mjulikane kuwa na nyie wamo.
ili kufanikisha hilo, mimi, Erickb52, Arushaone, Mr Rocky, Filipo (japo anataka kutuzingua na marejesho), pamoja na mlokole Mzee wa Rula tunahakikisha tunapanga strategies ya kuwa karibu. Kwa kuanza na mpango mkakati sasa, PM zimeshaanza kuwasiliana na Madame B, charminglady, FirstLady, Zinduna, snowhite, cacico, Kipipi, Natalia, Erotica na gfsonwin............. kwa PM za awali mambo yanaenda vizuri, Kipipi anatamani iwe leo, kwahiyo Mr Rocky ambaye ndo tunamkabidhi Kipipi tumemwelekeza chakufanya kuhakikisha hatemekiwi.
 
Last edited by a moderator:
Mimi warembo wa Arusha tuuu!
Unajua warembo wa Arusha na wafahamu kwa hiyo mimi ntahakikisha nakubakiza wewe mpweke kwanza kesho nina appoint ment hapo Naurasprings na warembo wawili hivi ili tupange lazima ulie!

Sisi hatuna mashaka na warembo wetu, mpango uliopo ni kuhakikisha tunapanda mbegu huko, angalau mjulikane kuwa na nyie wamo.
ili kufanikisha hilo, mimi, Erickb52, Arushaone, Mr Rocky, Filipo (japo anataka kutuzingua na marejesho), pamoja na mlokole Mzee wa Rula tunahakikisha tunapanga strategies ya kuwa karibu. Kwa kuanza na mpango mkakati sasa, PM zimeshaanza kuwasiliana na Madame B, charminglady, FirstLady, Zinduna, snowhite, cacico, Kipipi, Natalia, Erotica na gfsonwin............. kwa PM za awali mambo yanaenda vizuri, Kipipi anatamani iwe leo, kwahiyo Mr Rocky ambaye ndo tunamkabidhi Kipipi tumemwelekeza chakufanya kuhakikisha hatemekiwi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom