Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Mie nimejitolea kuzibeba toka Arusha PJ ! Sema lingine
Usiniharibie jina bana! PJ ni member huru, ni tofauti na PakaJimmy... halafu ni mkorofi huyo, hapendagi utani, mpaka awe kwenye 3some.

Kwanza usikute naongea na mtu bado yuko Dar, sijui brajeck nini nini mi sijui bana.
Ukirudi lazima unilipe spaletta.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh! Mpambano umekuwa mkali baada ya PakaJimmy kujiunga na maadui!
Hajiungi mtu, hii ni kwaajili ya kumwezesha mwenzetu mmoja[jina linahifadhiwa] aweze kumpata binti anayempenda sana anayeitwa marejesho.

Shida ya mwenzetu huyo DOMO NANGA!
 
Last edited by a moderator:
Hajiungi mtu, hii ni kwaajili ya kumwezesha mwenzetu mmoja[jina linahifadhiwa] aweze kumpata binti anayempenda sana anayeitwa marejesho.

Shida ya mwenzetu huyo DOMO NANGA!

........!!???
 
Last edited by a moderator:
Usiniharibie jina bana! PJ ni member huru, ni tofauti na PakaJimmy... halafu ni mkorofi huyo, hapendagi utani, mpaka awe kwenye 3some.

Kwanza usikute naongea na mtu bado yuko Dar, sijui brajeck nini nini mi sijui bana.
Ukirudi lazima unilipe spaletta.

Sorry PakaJimmy !!BTW niko A-Town (Half London)!!
Ya Brajec tuyaache huko huko,ila niliwamisije!!!
Hivi ile dozi ulipewa na daktari iliisha???
 
Last edited by a moderator:
Hajiungi mtu, hii ni kwaajili ya kumwezesha mwenzetu mmoja[jina linahifadhiwa] aweze kumpata binti anayempenda sana anayeitwa marejesho.

Shida ya mwenzetu huyo DOMO NANGA!

PakaJimmy ni nani huo? Mie nilipata maono eti kuna mtu mbali na my hubby ananipenda,sasa mwenzangu sijui na wewe ulimuona kabisa kwenye maono?
 
Last edited by a moderator:
Jamani napitwa mm mtoto wa Arusha...basi ndo hivyo tena...next time labda...Nawatakieni nyoote maandalizi mema ya Safari hizo za mwisho mwaka..
 
kweli JF ni zaidi ya sosho netiweki,

Team Atown one cup!
 
Sorry PakaJimmy !!BTW niko A-Town (Half London)!!
Ya Brajec tuyaache huko huko,ila niliwamisije!!!
Hivi ile dozi ulipewa na daktari iliisha???
Ile dozi mwaya iliisha. Kwa mara ya kwanza nikazindua juzi pale Meru View.
Nilikondaje kwa mawazo ya kuikosa ile makitu!
 
Last edited by a moderator:
PakaJimmy ni nani huo? Mie nilipata maono eti kuna mtu mbali na my hubby ananipenda,sasa mwenzangu sijui na wewe ulimuona kabisa kwenye maono?
Yupo!
Twende PM nikwambie jina la huyo mtu, maana huku nje ni fitna tupu! Naogopa kuna mtu ataji`barlow.
 
Last edited by a moderator:
Yupo!
Twende PM nikwambie jina la huyo mtu, maana huku nje ni fitna tupu! Naogopa kuna mtu ataji`barlow.

hah hah hah hah! Kaka umejiunga na maadui kuiivuruga ndoa yangu!!? Na wewe utashindwa!!!
 
Sisi hatuna mashaka na warembo wetu, mpango uliopo ni kuhakikisha tunapanda mbegu huko, angalau mjulikane kuwa na nyie wamo.
ili kufanikisha hilo, mimi, Erickb52, Arushaone, Mr Rocky, Filipo (japo anataka kutuzingua na marejesho), pamoja na mlokole Mzee wa Rula tunahakikisha tunapanga strategies ya kuwa karibu. Kwa kuanza na mpango mkakati sasa, PM zimeshaanza kuwasiliana na Madame B, charminglady, FirstLady, Zinduna, snowhite, cacico, Kipipi, Natalia, Erotica na gfsonwin............. kwa PM za awali mambo yanaenda vizuri, Kipipi anatamani iwe leo, kwahiyo Mr Rocky ambaye ndo tunamkabidhi Kipipi tumemwelekeza chakufanya kuhakikisha hatemekiwi.

Mungi usiwe na wasi wasi Kipipi atakuwa kwenye mikono salama na atarudi akiwa na kizygote.
Erickb52 mbona una mpango wa kuingia kwenye tego aise hivi hujui tanga ndo kwenyewe nahisi tutakuacha pale Bombo hospital
Blaki Womani muache Arushaone hata aje atusalimie bana
Mzee wa Rula siku hiyo tutaomba uache ulokole pembeni aise
Preta mbona ombi langu umelichunia na alisisitiza Lily Flower aise
Filipo mbona sijamsikia marejesho au aliishia survey kwa akina Asprin na Bishanga
Dena Amsi sijui kaishia wapi au anataka mpaka apigwe short ya umeme ndo ashtuke
sweetlady, gfsonwin, snowhite niaje aise nawasalimia sana

@
 
Last edited by a moderator:
Jamani napitwa mm mtoto wa Arusha...basi ndo hivyo tena...next time labda...Nawatakieni nyoote maandalizi mema ya Safari hizo za mwisho mwaka..

hii kitu mbona ni rahisi.....ni world wide.....jipange tu uibuke........
 
Jaman na mi naomba eeeh!?

nikikupa aaah utalewa eeeh nikikunyima huruma aaaaa
nikikupa kupa kupa utalewaaa na nikikunyimaaaaa huruma!
nshachoka mie
nshachoka miie
hoi hoi
nshachoka mie..........
 
Back
Top Bottom