Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

hah hah hah hah! Hao ni akina Mwita Maranya wanatuonea wive! Lol

Hivi ninyi watu ya Arusha hamjisikii unyonge kutumia business idea yangu kujitajirisha lakini hamnikumbuki mimi ambaye ni founder?
Off all the people hata Preta naye anashiriki kunihujumu kwa ushirikiano mkubwa sana toka kwa PakaJimmy? Nimeshangaa kwamba this time around hata hamtaki kunialika, ndugu yangu Filipo uko busy na mkeo marejesho hadi umenisahau? wapi dadake Lily Flower hata wewe? Eti hata Mungi nae kanichinjia baharini? kha...

Jamaa yangu Saharavoice angekuwa ameshirikishwa huu mchakato bila shaka asingenipotezea, lakini hakuna kwere nadhani Blaki Womani anaandaa mazingira ya kunipa mwaliko "maaliumu" ngoja nimsubiri kidogo.
 
Last edited by a moderator:
mkuu NORTHERN ROCK......unaweza kusema chochote......nakuona muda sasa hapa......
 
Last edited by a moderator:
Hivi ninyi watu ya Arusha hamjisikii unyonge kutumia business idea yangu kujitajirisha lakini hamnikumbuki mimi ambaye ni founder?
Off all the people hata Preta naye anashiriki kunihujumu kwa ushirikiano mkubwa sana toka kwa PakaJimmy? Nimeshangaa kwamba this time around hata hamtaki kunialika, ndugu yangu Filipo uko busy na mkeo marejesho hadi umenisahau? wapi dadake Lily Flower hata wewe? Eti hata Mungi nae kanichinjia baharini? kha...

Jamaa yangu Saharavoice angekuwa ameshirikishwa huu mchakato bila shaka asingenipotezea, lakini hakuna kwere nadhani Blaki Womani anaandaa mazingira ya kunipa mwaliko "maaliumu" ngoja nimsubiri kidogo.

Kaka Mwita Maranya kulikoni kutuanika kama makaniki hivyo ha ha ha si unaona tunavyokuenzi na mawazo yako uliyotupa? Ila unakaribishwa sana kujumuika nasi at this superb event.
 
Last edited by a moderator:
Mpaka jana majira ya saa tatu usiku nimefanya mazungumzo na yule jamaa wetu wa usafiri na nikamweleza A to Z tunavyotaka na akanihakikishia uwepo wa hitaji letu na hata hivyo nimempa mpaka tarehe yenyewe ya safari na kwa ujumla kila kitu kinaenda kama tunavyotaka kwa uweza wa MUNGU tunayemtegemea na kama kutakuwepo na badiliko lolote lile bila shaka tutafanya mawasiliano kwa haraka sana!


tumefikia wapi mpaka sasa.....?
 
Kaka Mwita Maranya kulikoni kutuanika kama makaniki hivyo ha ha ha si unaona tunavyokuenzi na mawazo yako uliyotupa? Ila unakaribishwa sana kujumuika nasi at this superb event.

Asavali dadake umejitokeza mapema. Sijawaanika isipokuwa nilipata wasiwasi kwamba huenda mmeshanisahau ze founder.
Kwakuwa nimeona mnajiandaa kwa pea pea, mimi mmeniandalia nani kuwa partner wangu huko Chuga? manake bila kuwa pea safari haitanoga.:confused2::confused2:
 
QUOTE=Erickb52;5017409]Teh msimamo wangu haubadiliki...like najua utanipa tu Kipipi coz tunalikiiana km konda na mlegezo...
Naona Mr Rocky anakuvizia achana nae kabisa ana wake wengi sana[/QUOTE]


Hivi wewe kiumbe unayeitwa Erickb52 huwezi fanya mambo yako bila kuingiza majungu na kuharibiana
Si unaona Kipipi hapo ashakubali kiaina kupokea application yangu sasa hicho kiwingu ni cha nni aise Arusha one na Mungi sijui wako wapi maana haya majungu haya yanataka kuharibu sasa h
 
Last edited by a moderator:
Asavali dadake umejitokeza mapema. Sijawaanika isipokuwa nilipata wasiwasi kwamba huenda mmeshanisahau ze founder.
Kwakuwa nimeona mnajiandaa kwa pea pea, mimi mmeniandalia nani kuwa partner wangu huko Chuga? manake bila kuwa pea safari haitanoga.:confused2::confused2:

Endelea kukuna kichwa mpaka hapo utakapopata clue, huku chuga tuko fuli bukdi na chuga wenzetu ulah la lah!!!!
 
Mpaka jana majira ya saa tatu usiku nimefanya mazungumzo na yule jamaa wetu wa usafiri na nikamweleza A to Z tunavyotaka na akanihakikishia uwepo wa hitaji letu na hata hivyo nimempa mpaka tarehe yenyewe ya safari na kwa ujumla kila kitu kinaenda kama tunavyotaka kwa uweza wa MUNGU tunayemtegemea na kama kutakuwepo na badiliko lolote lile bila shaka tutafanya mawasiliano kwa haraka sana!

Safi sana babake, mzima lakini weye?
 
nashangaa mpaka saa hii hakuna kinachoendelea.......inavyoonekana nitapumzika ufukweni mwenyewe......potelea mbali.......

Unaonaje tukitengeneza pea mimi na wewe, maaliumu kwa safari ya Tanga tu!! ila hakikisha shemeji yako PakaJimmy hastukii deal maana brother naye mnoko kiaina. lol
 
Last edited by a moderator:
Endelea kukuna kichwa mpaka hapo utakapopata clue, huku chuga tuko fuli bukdi na chuga wenzetu ulah la lah!!!!

Dah sasa kama chuga mko full bukdi inabidi nitafute partner toka pande za daslamu. Nilimuona mahali fulani Madame B akiulizia ulizia mambo ya pea pea na singo singo. Kama hujapata partner mamito Madame B naomba kukubuk.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Mungi unajitahidi sana kutengeneza pea na dadangu Lily Flower lakini naona kama hujiaminihivi? mbona unamhofia sana Ruttashobolwa? kama una wasiwasi nae sana wasiliana na jamaa wa temeke, akigusa tu inakula kwake.
Lily Flower nimeshampatia majukumu mkuu............................. wadau wa Arusha tumejizatiti kuhakikisha awamu hii tunapanda mbegu za kiarusha dar.................... ili kufanikisha hilo Mr Rocky ameshafikia pazuri na Kipipi, kwa jinsi huyu mrembo alivyo na haraka nina mashaka kama hata watafika siku yenyewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom