Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Hahahaha! Usiponitaja hulali eeh? Kwetu mgao umeanza toka jana, vipi kwenu wenye inji hii?

ndio wamerudisha muda huu khaa njii inakera hii .........BTW wifi naona unafanya booking kwa RR unajua hakuna kuimport
 
Last edited by a moderator:
usijali mwanangu anakuja nimtembeze jiji unajua limebadilika toka limezinduliwa mida ya usiku

Mwache aje huyo Ruttashobolwa.......... umtembeze mjini lakini ni siri yako usimwambie nimemkatia RB naye akaonje selo ya Arusha, akakutane na wakuu wa wilaya na mkoa wa selo hahaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mwache aje huyo Ruttashobolwa.......... umtembeze mjini lakini ni siri yako usimwambie nimemkatia RB naye akaonje selo ya Arusha, akakutane na wakuu wa wilaya na mkoa wa selo hahaaaaaaaaa

hahahahah idadi iongezeke chezea selo wewe nahakikisha hatawasiliana na Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mungi kwa taarifa yako ATM ya Erickb52 haina hata shilingi yaani ni boya tuu
We endelea kufanya mambo yako bana bahasha nyingine inakuja hapa ya madolari
Preta it seems kuwa naandika na wino mweusi aise hata maandishi hayaonekani
sweetlady yaani napata brain konkosheni hapa ninavyokumiss aise

Mkuu nitumie tena bahasha nyingine ya madolaree........ manake Kipipi kachanganyikiwa kwako................. ila PM ya muda huu alonitumia anasema eti leo amefanikiwa kuzichezea betri zako ni kweli?
achana na sweetlady bana komaa na ntoto Kipipi nishamtengeneza kakufia kinoma[/QUOTE]

Mungi mbona nikikupa siri unakuja kuzitangaza hapa aise utampanya Kipipi ashtuke bana
Nakutumia bahasha nyingine aise ili sasa achezee mambo kamili halafu aingie kwenye basi siku hiyo
 
Last edited by a moderator:
Nashangaa nitonye bado anachungulia huku kama guest....................... ngoja nimtafute babu Asprin afanye ukaguzi tujue kwanini midume inamwogopa sweetlady
Hahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.

"mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakushauri jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau!"
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nitumie tena bahasha nyingine ya madolaree........ manake Kipipi kachanganyikiwa kwako................. ila PM ya muda huu alonitumia anasema eti leo amefanikiwa kuzichezea betri zako ni kweli?
achana na sweetlady bana komaa na ntoto Kipipi nishamtengeneza kakufia kinoma

Mungi mbona nikikupa siri unakuja kuzitangaza hapa aise utampanya Kipipi ashtuke bana
Nakutumia bahasha nyingine aise ili sasa achezee mambo kamili halafu aingie kwenye basi siku hiyo[/QUOTE]
Heheheeee Mr Rocky unataka kugandana na sweetlady ?
 
Last edited by a moderator:
Mungi kwa taarifa yako ATM ya Erickb52 haina hata shilingi yaani ni boya tuu
We endelea kufanya mambo yako bana bahasha nyingine inakuja hapa ya madolari
Preta it seems kuwa naandika na wino mweusi aise hata maandishi hayaonekani
sweetlady yaani napata brain konkosheni hapa ninavyokumiss aise

Mkuu nitumie tena bahasha nyingine ya madolaree........ manake Kipipi kachanganyikiwa kwako................. ila PM ya muda huu alonitumia anasema eti leo amefanikiwa kuzichezea betri zako ni kweli?
achana na sweetlady bana komaa na ntoto Kipipi nishamtengeneza kakufia kinoma[/QUOTE]

Teh yan Mr Rocky kumchukua Kipipi ni ndoto...nawewe Mungi ndio maana unapelekwa sero umezidi majungu lol
 
Last edited by a moderator:
Hivi kibabu una wake wangapi (including wajukuu cum wives)?
Hahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.

"mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakushauri jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau!"
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.

"mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakushauri jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau!"

hah hah hah hah hah!!! Asprin una maneno!!? Angalia nitonye asikurushie vitu vizito!
 
Last edited by a moderator:
Chezea pilika za daslamu. Na mie mbona niko nkoarua, nikija mjini nani atanivusha barabara?
Note: napita shortcut ya sing'isi, akeri, ilboru natokezea mianzini.

Karibu sana King'asti! Nitakupokea Kiding'a halafu tushuke wote Jijini! Worry not.
 
Chezea pilika za daslamu. Na mie mbona niko nkoarua, nikija mjini nani atanivusha barabara?
Note: napita shortcut ya sing'isi, akeri, ilboru natokezea mianzini.

Karibu sana King'asti! Nitakupokea Kiding'a halafu tushuke wote Jijini! Worry not.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nitumie tena bahasha nyingine ya madolaree........ manake Kipipi kachanganyikiwa kwako................. ila PM ya muda huu alonitumia anasema eti leo amefanikiwa kuzichezea betri zako ni kweli?
achana na sweetlady bana komaa na ntoto Kipipi nishamtengeneza kakufia kinoma

Teh yan Mr Rocky kumchukua Kipipi ni ndoto...nawewe Mungi ndio maana unapelekwa sero umezidi majungu lol[/QUOTE]

Erickb52 wewe ndo naona unazidi majungu na kwa taarifa siku ya mwisho itafikia uko alone
Mungi achana na huyu mzee wa majungu maana amechanganyikiwa bahasha inakujia karibuni ya madolare
 
Last edited by a moderator:
Mungi mbona nikikupa siri unakuja kuzitangaza hapa aise utampanya Kipipi ashtuke bana
Nakutumia bahasha nyingine aise ili sasa achezee mambo kamili halafu aingie kwenye basi siku hiyo
Heheheeee Mr Rocky unataka kugandana na sweetlady ?[/QUOTE]

Erickb52 hatutagandana kabisa sisi hatuna matatizo
Wewe ndo ukigusa tuu unalo tutakukimbiza bombo mara moja
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom