Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha! Usiponitaja hulali eeh? Kwetu mgao umeanza toka jana, vipi kwenu wenye inji hii?
usijali mwanangu anakuja nimtembeze jiji unajua limebadilika toka limezinduliwa mida ya usiku
Mwache aje huyo Ruttashobolwa.......... umtembeze mjini lakini ni siri yako usimwambie nimemkatia RB naye akaonje selo ya Arusha, akakutane na wakuu wa wilaya na mkoa wa selo hahaaaaaaaaa
sweetlady dili hilo changamkia nafasi ya pili kwa Mr Rocky................ usisahau yupo na Kipipi kwa sasa, na Kipipi amenihadhitia kuwa teyari keshazichezea betri za Mr Rocky
Hahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.
Broda,
Acha tu.
Watu wakihamia Dar huwa wanabadilika by 180°.
Hahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.
"mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakushauri jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau!"
Hahahahaha! sweetlady ni mjukuu maalum wa babu. Na mjukuu maalum ni mke wa babu. Hii inamaanisha sweetlady ni my wife. Anayebisha anyooshe mkono juu aone cha mtema kuni.
"mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akakushauri jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau!"
Hivi kibabu una wake wangapi (including wajukuu cum wives)?
Nitonye cha mtoto tu. Waeza nambia Mbaula 682 ikigongana na Vitz nini kinatokea?
Heheheheheh! Unantaka? Nakuuliza unantaka?Hivi kibabu una wake wangapi (including wajukuu cum wives)?
Chezea pilika za daslamu. Na mie mbona niko nkoarua, nikija mjini nani atanivusha barabara?
Note: napita shortcut ya sing'isi, akeri, ilboru natokezea mianzini.
Chezea pilika za daslamu. Na mie mbona niko nkoarua, nikija mjini nani atanivusha barabara?
Note: napita shortcut ya sing'isi, akeri, ilboru natokezea mianzini.
Heheheeee Mr Rocky unataka kugandana na sweetlady ?[/QUOTE]