Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Blaki Womani kumbe upo? Usisikilize haya mambo maana ni makubwa mno.....

Nimekumisije..... Tanga utaenda?

Habari yako bhana, blacki Womani aache kwenda maajabu maana mpaka sasa hivi amebuki seat iliyokaribu na dereva hala hala tu asije akambuki na dereva ha ha ha ha ha inabidi tujue ametoka mkoa gani ulah la lah
 
Last edited by a moderator:
Nilikuja nacho juzi sikuwakuta mlichoropokea wapi? selo inakuhusu soon ha ha ha ha mzima lakini babe Mungi.
sweetlady alikuwa ameniibia password yangu nikawa namkimbiza......... ndo maana hujamkuta pale............ mi mzima babe........... selo ishakuwa kama kijiwe sikuizi, kila mtu anajiendea hahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Shem marejesho vipi? babu Asprin anakutafuta, anasema kuna kitu umesahau chumbani kwake, amesema kama huna muda mtume Filipo akuchukulie
Mungi shem wangu ,mbona hivi jamani.....? Babu Asprin vipi kwani? Niliacha shanga baada ya ukaguzi ama?
Sasa mume wangu Filipo aje kufanya nini? Kwani Babu siku hizi anamsapoti kemeruni..??
 
Last edited by a moderator:
Mungi shem wangu ,mbona hivi jamani.....? Babu Asprin vipi kwani? Niliacha shanga baada ya ukaguzi ama?
Sasa mume wangu Filipo aje kufanya nini? Kwani Babu siku hizi anamsapoti kemeruni..??

Eti kuna sijiu kitu gani ........... babu Asprin kwakuwa ni mkoloni anasema eti nguo imekaa kama kamba kamba hivi hahaaaaaa............. amesema umetume tu akuchukulie kama huna muda
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom