Westlands vs Posta

Kwani kwao kuna glass buildings ngapi?
 
tumesema westlands vs posta imewashinda...
Next tutaweka kijitonyama vs Easlands yani traratuibu hadi tuidhalilishe Dar.
Muweke na kibera one of the largest slum ni the world.
 
Kwakweli majengo kama UAP huku ni machache sana tena ya zamani mno,ni 5floor-7.
Hakuna jengo kama UAP Dar, wacha uongo. Majengo ya kwenu mengi sio modern na mafupi fupi. Acha kukosea UAP heshima. Westlands pekee ina majengo modern kuliko Dar yote.
 
Huyu ni nani... Na ana akili kweli ama ni matope kwa kichwa. You insane? Ends checkup buda.
Mnajisifia ujinga tu hapa , we nani ? Acha kukariri , kibera iliopo kenya ndio jiji duni kabisa na la kwanza Afrika na katika dunia ni kati ya manne ya juu kabisa kwa uduni , acha uzwazwa
 
Mnajisifia ujinga tu hapa , we nani ? Acha kukariri , kibera iliopo kenya ndio jiji duni kabisa na la kwanza Afrika na katika dunia ni kati ya manne ya juu kabisa kwa uduni , acha uzwazwa
Acha kutumia ujinga kusupport ujinga. Akili ndo huna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…