Weusi kati kati ya mapaja (dark inner thighs) chanzo cha wanaume wengi kutmbea na wasichana wadogo

Weusi kati kati ya mapaja (dark inner thighs) chanzo cha wanaume wengi kutmbea na wasichana wadogo

Ndugu LIKUD utakuwa una matatizo ya kimaadili. Kama form II ulishaanza ushenzi sidhani kama unao uhalali wowote wa kuwaongelea wanawake vibaya. Kama alivyotangulia kusema ndugu makaveli10 kuwa mchagua K si mt**baji basi hata wewe una tatizo kubwa. Wanaume wa kweli hatuna muda wa kuanza kuwaongelea vibaya wanawake. Huu uzi unakushushia heshima.
 
Burudan ya qwanza ni kushiba hivy vingne ni ziada[emoji2957]
We acha kuvutia bangi chooni, kushiba sio burudani ni jambo la msingi.. kwichi kwichi ndipo burudani ilipo na ndio mam wa burudani zoooote uzijuazo duniani.. uende Serengeti kutalii, kwichi kwichi muhimu, sijui Zanzibar,sijui taifa kucheki boli(mama jay ninushahidi tosha), uende bar kula bieeere, zitashuka chini utatamani kumuinamisha mtu, so kwichi kwichi iache iiwe kwichi kwichi.

🤣😂
 
We acha kuvutia bangi chooni, kushiba sio burudani ni jambo la msingi.. kwichi kwichi ndipo burudani ilipo na ndio mam wa burudani zoooote uzijuazo duniani.. uende Serengeti kutalii, kwichi kwichi muhimu, sijui Zanzibar,sijui taifa kucheki boli(mama jay ninushahidi tosha), uende bar kula bieeere, zitashuka chini utatamani kumuinamisha mtu, so kwichi kwichi iache iiwe kwichi kwichi.

[emoji1787][emoji23]

Alooo ndo uje na paragraph qabisa[emoji119][emoji3], yot qwa yote iyo kwich kwich yako sio kipaumbele kwangu[emoji41],,ila uache uzinzi[emoji1787]
 
Back
Top Bottom