Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani huyu kapigwa na bomu ikulu?? 🤣🤣
Wewe zoazoa huchagui 😂😂😂😂🤣🤣 Hayo maswala ya ublack ndio sikutaka kuyaona ndio maana nikaemda uchochoroni.. black + dark.. !??
Muhimu utelezi tu, kwani hizo dark inner thingz zinahamia kwangu.😂
Ndo hivyo 😃😃😃🤒🤒...huo utakua ugonjwa sasa😅😅picha kusindikiza uzi🤣
Umeona ee😃😃😅😅.... Kwakweli wanaume wana haki ya kulalamika kama weusi wenyewe ndo huo😂😂🤥Jamani huyu kapigwa na bomu ikulu?? 🤣🤣
Na hapo akivua hizo soksi miguu nayo ina sugu 🤣🤣🤣
Nadhani the opposite is the case ukichanganya na MkorogoHsyo ni matokeo ya kunyoa pubic hair mara kwa mara so lazima kuweke usugu kama vile kidevu cha mwanaume kinakuwa cheusi baada ya kunyolewa sana ndevu..
Umewahi kula supu ya kichwa cha ng'ombe?Pua yake huwa unakula?🤔Mwanaume unaweza kusex na mwanamke mwenye weusi kati kati ya mapaja ? ( dark inner thighs)
Kama unaweza basi jua wewe ni jasiri ambae unaweza hata kutafuna jongoo.
Binafsi siwezi kabisa labda kwa mkwassa ( bastola) mbaya zaidi awe pia na stretch marks kwenye mapaja coz nitamuacha right away.
Uchunguzi wangu umeniwezesha kugundua kwamba tatizo la Kuwa na weusi katikati ya mapaja ni moja wapo kati ya sababu zinazo wafanya wanaume wengi leo hii kutembea na mabinti wadogo.
Kwanini? Kwa sababu mabinti wengi wadogo hawana tatizo hilo. Tatizo hilo linawahusu zaidi wanawake wenye umri mkubwa.
Mitaani kuna dhana inayo aminiwa na wengi kwamba wasichana wadogo hawana tatizo la weusi katikati ya mapaja ( wengi wao) na hii ndio sababu kuu wanaume wengi leo hii wanatoka na wasichana wenye umri mdogo. Unakuta mwanaume mwenye miaka 45 anatoka na msichana aliezaliwa mwaka 2005.
Dhana hii ina ukweli ndani yake kwa sababu Mimi binafsi nimeanza kuwa na mahusiano na wasichana nilipokuwa nasoma sekondari ( from two nikiwa na miaka kumi na tano)
I had so many girlfriends who were my fellow students na kati yao hakuna hata mmoja alie kuwa na tatizo la weusi katikati ya mapaja.
Wanawake wenye tatizo la weusi katikati ya mapaja nimekuja KUKUTANA nao nikiwa mtu mzima baada ya kuanza KUKUTANA na wanawake watu wazima wenzangu.
Weusi katikati ya mapaja ndio sababu nyingine kwanini wanaume wengi siku hizi huomba picha za utupu za mwanamke kabla ya KUKUTANA nae. Wanaume wengi hupenda kujihakikishia kwamba wanakwenda KUKUTANA na mwanamke ambae hana weusi katikati ya mapaja.
Badilika.. ondoa huo weusi katikati ya mapaja. Okoa jamii yako.
Huyu kapigwa na fungus kabisa.
Astaghifilullah!🤔
Fungus na tight wakati wa joto zina sababisha hiyo kitu kwa wembamba pia.Ni Kweli,wadada wembamba na size ya kati hawana kabisa hiyo...Ile ni msuguano wa mapaja
Sasa mtu mwembamba anavaa tight ya Nini?si kiranga hicho?Fungus na tight wakati wa joto zina sababisha hiyo kitu kwa wembamba pia.
Hasa tight zenye material ya kipira (nylon na polyester)