Weusi kati kati ya mapaja (dark inner thighs) chanzo cha wanaume wengi kutmbea na wasichana wadogo

Hapa huwa sielewi, mtu unakua mweupe af mapaja meusi au?, rangi ya sura si ndo rangi ya mwili. Kama mweusi na mapaja yatakua meusi and vice versa.
 
sijaona km kulikuwa na haja ya kuleta hiyo mada humu ndan,km mwanamke wako ni mweusi huko chin si unaachana nae tu ukatafute msoft!!!

we mwenyew utakuta hapo unakasoro zako za kimwil vitu vingine unavunga tu na kupotezea km mwanaume tu
 
Mkuu ushawahi kula nyama ya kuku mtetea wa kawaida na ile ya mtetea aliyekmaa?

Aliyekomaa ni ngumu ile mbaya
Huyu underground ni mtamu ile mbaya.
 
Unaongea haya yote halafu unakuta :

1. Una ka bamia.
2. Una sura ya hovyo.
3. HELA huna.

Sasa dharau kwa Dada zetu za nini?
Bro mbona kama ww ndio umemind sana kushinda hata hao dada zako .....?

Sad enough unamtukania mwanaume mwenzio kibamia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jamani tumuunge mkono mrusi ashinde hii vita maana wanaume tunaisha kwa kasi ya 5g
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…