Wewe huwa unajiunga kifurushi cha muda gani kwenye simu yako?

Wewe huwa unajiunga kifurushi cha muda gani kwenye simu yako?

Habarini za wakati?
Hivi wewe huwa una mazoea ya kujiunga kifurushi cha muda gani nimeconsider time interval in term of Daily bundle, Is it weekly, or monthly bundle.

Watanzania wengi najua tunaishi kwa mazoea ya aina fulani, we're very lating in exposure and exploits whatever around us.
Najua kuna wengine watauliza wewe unauliza ili unufaike na nini?
Nyoosheni mikono juu mjibu hili swali.

Note:
Somes huwa wanatwanga bila kifurushi (wachache 2%)

Cha mwezi elf35 GB30
 
Zantel wanakifurush wanaita cha chuo kizuri sana kwa sisi watumiaji wa Tecno
Dkk 160 all nets, 1.5Gb kwa wiki.
Na wale Heavy Internet Users hamjasahauliwa
IMG_20210806_102137.jpg
 
Muda wa maongezi nanunua kifurushi cha mwezi, na kifurushi cha internet nanunua cha siku tatu
 
Vifurushj vinategemea na matumizi ya laini yako, tigo nimetumia maika 10+ wameniwekea gharama juu sana, nimeamia voda najiunga kwa week, sema internet yao inasuasua.
 
Habarini za wakati?
Hivi wewe huwa una mazoea ya kujiunga kifurushi cha muda gani nimeconsider time interval in term of Daily bundle, Is it weekly, or monthly bundle.

Watanzania wengi najua tunaishi kwa mazoea ya aina fulani, we're very lating in exposure and exploits whatever around us.
Najua kuna wengine watauliza wewe unauliza ili unufaike na nini?
Nyoosheni mikono juu mjibu hili swali.

Note:
Somes huwa wanatwanga bila kifurushi (wachache 2%)
🖐️
 
Natumia line ya Tigo. Kupiga najiunga cha mwezi 10K combo.
Internet nmejiunga na postpayment. Nmejiunga cha GB30/month kwa 25K. Kama hazijaisha nalipia ya chini
 
Natumia line ya Tigo. Kupiga najiunga cha mwezi 10K combo.
Internet nmejiunga na postpayment. Nmejiunga cha GB30/month kwa 25K. Kama hazijaisha nalipia ya chini
Mkuu wewe bando haliishi kabisa.
 
Vifurushj vinategemea na matumizi ya laini yako, tigo nimetumia maika 10+ wameniwekea gharama juu sana, nimeamia voda najiunga kwa week, sema internet yao inasuasua.
Tafuta line za halotel na Airtel wapo vizuri.
 
Halotel kifurushi cha mwezi kuongea dk 300 sh. 5000,mitandao yote.

Bando kwa wiki 2 gb zinatosha, mega bando halotel,sina mambo mengi

sms bando 1000 kwa mwezi sms 5000
 
Back
Top Bottom