Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Acha tu.M
Mtu unajiunga cha wiki hakimalizi hata siku mbili chali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu.M
Mtu unajiunga cha wiki hakimalizi hata siku mbili chali
Habarini za wakati?
Hivi wewe huwa una mazoea ya kujiunga kifurushi cha muda gani nimeconsider time interval in term of Daily bundle, Is it weekly, or monthly bundle.
Watanzania wengi najua tunaishi kwa mazoea ya aina fulani, we're very lating in exposure and exploits whatever around us.
Najua kuna wengine watauliza wewe unauliza ili unufaike na nini?
Nyoosheni mikono juu mjibu hili swali.
Note:
Somes huwa wanatwanga bila kifurushi (wachache 2%)
Hii ni Zantel ofcozCha mwezi elf35 GB30
Ni GB ngapi na inaghalimu kiasi gani?wiki data halotel
Bado ipo, tembelea kwenye ofisi zao kuna fomu za kujazapre-paid niliwahi kuisikia zaman kidogo enzi za celtel ikiwa hai,, sijui km bado ipo au la!!?
Halotel boss, kuhusu kukuuzia subiri mwezi ujao mwezi huu zimeisha.za mtandao gani mkuu?
naomba niuzie kwa nusu bei mm sina ajira napata tabu sana.
Nashukuru sana mkuu.Halotel boss, kuhusu kukuuzia subiri mwezi ujao mwezi huu zimeisha.
🖐️Habarini za wakati?
Hivi wewe huwa una mazoea ya kujiunga kifurushi cha muda gani nimeconsider time interval in term of Daily bundle, Is it weekly, or monthly bundle.
Watanzania wengi najua tunaishi kwa mazoea ya aina fulani, we're very lating in exposure and exploits whatever around us.
Najua kuna wengine watauliza wewe unauliza ili unufaike na nini?
Nyoosheni mikono juu mjibu hili swali.
Note:
Somes huwa wanatwanga bila kifurushi (wachache 2%)
hii sawa na mimiBuku halotel kwa wiki na kina DKK pia!
Lkn cha mhim an cha SMS cha mwezi kwa buku pia
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Linaisha. Hapo sijaingia netflix na ytkids.Mkuu wewe bando haliishi kabisa.
Halotel niliko wamezidiwa bora vodaTafuta line za halotel na Airtel wapo vizuri.