Wewe huwa unajiunga kifurushi cha muda gani kwenye simu yako?

Tigo kupitia ofa ya "Saizi yako "wanatoa Dkk 100, Gb 1 na sms 100 by 3days kwa Tsh 1000/=. So kila baada ya siku 3 najiunga 1000/= kwa mwezi = 10000/= kwa Gb 10 dkk 1000 na sms 1000
 
15k per month. 10k zantel; 550mins, 7.5GB and many sms's. 5k Airtel kukiwa na uhitaji huo.
 
Kifurushi cha mwezi airtel; dakika 150 mitandao yote, sms 50

Halotel gb 1 weekly kwa buku


jumla 5500 kwa mwezi
 
1000 GB 1 Siku 7
1000 Dakika 50 mitandao yote siku 7

Halotel
 
Me Halotel

10000: Dakika 1250 All network, Monthly
1000: sms 5000, Monthly
1000: 1Gb , Weekly

So kwa mwez Natumia 15000

Kwa Sasa naona ndo mtandao wenye gharama nafuu kuliko yote......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…