Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelaumu sana huyo msela kama kweli hakumla huyo digidigi.Yani mtu aache shughuli zake amfuate mtu mbali hivyo eti wasalimiane.
Mbona hakwenda kumsalimia mjomba wake kijijini
[emoji3][emoji3][emoji3] Inaonekana ni under 17.[emoji16][emoji16] wote hawapo serious
Mambo mengine msilaumu wanaume hivi wewe unatoka Mwanza unasafiri kwa gharama za mtu hafu unategemea akuache ili umuone bwege. Hata ningekuwa mm sikuachi aisee tena ningeshakwambia kabla hujatoka Mwanza.Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Napiga yowe hadi unaniacha mwenyewe,au najifanya nina majini,mbona utakimbia mwenyeweKanishangaza sana na mleta mada ananiuliza ningeanzia wapi kumbaka?? [emoji3] [emoji3] Serious hilo ni swali. Naanzia popote ili mradi niingie mwilini kwake.
Yeye kama anaanziwa kubakwa mbele mimi naanzia kanda ya kusini.
Wanaume tunapungua sana.
Yupo Kimboka anatafuta nauli.Kama hujakata tiketi bado naomba ukate Ally's uwahi kufika nyegezi...
Mbona hujamalizia na ubonge nyanya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niacheee na ufupi wangu mwenyewe naupenda
Halafu mbona haujamalizia ufupi na ubonge
[emoji16] kweli wanaume tunapungua kwa kasi sana, hizi sio nafasi za kupoteza kabisa mbaya zaidi unapoteza kwa gharamaKanishangaza sana na mleta mada ananiuliza ningeanzia wapi kumbaka?? [emoji3] [emoji3] Serious hilo ni swali. Naanzia popote ili mradi niingie mwilini kwake.
Yeye kama anaanziwa kubakwa mbele mimi naanzia kanda ya kusini.
Wanaume tunapungua sana.
Asubuhi hii...??lolYupo Kimboka anatafuta nauli.
Ewaaaaa [emoji847][emoji847]Mbona hujamalizia na ubonge nyanya
Kwani kuna ulazima wa kusex na mtu kama bado hamjawa karibu zaidi?Unaenda kwa mwanaume kufanya nini. Mwanaume anakuita kutoka Mwanza hadi Dar mje kupiga story.
Wanaume wenyewe hawa.
Whatsapp video call hamna!! Kama angetaka urafiki wa kawaida asingekuita toka Mwanza hadi Dar, urafiki wa kawaida huwa unaendelea hata kwenye simu tu.
Ama hakika wewe ni MSUKUMA. kwahiyo ukijifanya una majini haitaingia au?Napiga yowe hadi unaniacha mwenyewe,au najifanya nina majini,mbona utakimbia mwenyewe
[emoji16] hajatujua wanaume vizuri[emoji3][emoji3][emoji3] Inaonekana ni under 17.
Hivi na sie tungekuwa kila kinachotokea pm unaweka thread ingekuwaje jamaniWasipokuja kuweka humu akina sie tutajuaje wot iz goingi oni...eti bebe[emoji23]
Hahaha amsalimie huyo ni kaka akeeeti katoka mwanza mpaka dar kwenda kumsalimia [emoji23][emoji23][emoji23]