Rostema
JF-Expert Member
- Nov 27, 2018
- 2,926
- 9,470
MleteNamuona online, akipenda atakuja mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MleteNamuona online, akipenda atakuja mwenyewe
Kama kweli ni mwanaume,basi vijana wamechanganyikiwa
And was easy anaogopa kupima yaani kupima ......
Tulia basi au unataka niweke zile Convo, hapaHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Nipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima
cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
Ukimsoma kwenye post yake inaonesha wazo la kupima alilileta ili kuchelewesha mtanange sio kwamba alimaanisha kweli alitaka kupima then ampe
[emoji23][emoji23][emoji23] ila mwanaume akutumie nauli ya kutoka mkoani hadi Dar halafu ufike useme sitoi mzigo... Wakati mwingine mabinti muwege siriazJamaa angekaza angejilia vyake fresh tu, maana sidhani kama alikuwa serious na hilo katazo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mwanaume akutumie nauli ya kutoka mkoani hadi Dar halafu ufike useme sitoi mzigo... Wakati mwingine mabinti muwege siriaz
Sasa kama ni mpHao tayari walikua n wapenz maana dada alishatekwa hakuwa na ujanja hadi akaamua kumfata dar, isingekua hvyo asingemfata mapema yote hyo
Huyo kaka alitaka mapenz ya kupita tuHao tayari walikua n wapenz maana dada alishatekwa hakuwa na ujanja hadi akaamua kumfata dar, isingekua hvyo asingemfata mapema yote hyo
Hahahaaaa!! Weee kupima kama unajijua unaruka ruka sana na hauijui status yako sio rahisi.
Au alijua wanaenda kujadili hali ya kisiasa nchini kuelekea uchaguzi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu eti anashangaa, labda alikwenda wakasome Biblia.
Harusi bado tu Mrs Smart, najua kuna wadada humu wanatamani sana couple yenu. Ila ngoja niwaase kitu kimoja waache kufake maisha huku mtandaoni itabidi uwape ABC's watapata wenzi wa maisha yao.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo miss kutumi condom ni sawa na kutumia dildo?Condomu zinawashaaa.hivi kusex kwa condom na kutumia dildo kuna tofauti gani?
Kwani yalianzia wapi mama la mama?Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread