Wewe kaka wewe, toka huko PM njoo uniahidi hapa

Wewe kaka wewe, toka huko PM njoo uniahidi hapa

457212.jpg


Hata hivyo we ni mzuri unafaa kabisa kupewa ulivyoahidiwa tatizo umekosa uvumilivi umekuja kumwaga huku hadharani!!
 
Kama ni kweli basi Formular kwa madon wa Tanga ni kama ifuatavyo.
Ahadi = Mtaro + chura
Uchambuzi wa fomular.
Kama umejaza bonge la mzigo/tako/chura/shepu/mswambwanda/wezere/choo kubwa na la kutosha. Na upo tayari kutoa choo/tigo/ndogo/mtaro/sumaku kwa ufundi wa hali ya juu basi ahadi zote utatimiziwa na zingine zaidi ya hizo. Lakini Pia fatilia umiliki wa sheli huko ewura au brela ukilinganisha na jina lake halisi ili kujihakikishia kabisa umiliki. Ila kama ni chai basi andaa mikate tu, pia jiandae kupokea nauli elekezi ya 7800/=.







Mwamba unayepambana PM endelea kukaza utajilia vyako hivi karibuni.
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ww uko kimaslahi kipesa huko kimaslahi kindoa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ndio maana unaomba sana total lockdown, yaani haziishi siku unaomba serikali iweke lockdown watu wafe njaa majumbani, kumbe safari hii umeahidiwa 30k, sio mbaya toka 7800.
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo umeamua kuja kunianika hapa sio ustaarabu Ujue.!
Kama hukuniamini ungenikataa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4

Sent using Jamii Forums mobile app


Mademu wa kibongo kwa tamaa za kisenge, unakataa kweli wewe?
 
Back
Top Bottom