Wewe kaka wewe, toka huko PM njoo uniahidi hapa

Kwa akili hizi bora akuchakate na kuku dump tu








kush and Wisdom
 
Hahahaaaa ushahidi wa umma kwenye mahaba hii mpya ya zama za corona, mahaba mtangazo!!
 
Mbona wewe uja nikubalia kama utakua una nipa show mda wowote na sehemu yoyote ntakayo jiskia
 
Sasa ebu ngoja kwanza,,,Kwani kuna tofauti gani?kwani akikuahidi hapa kinaongezeka nini?
 
Mwanaume wa jf kwenye ubora wake [emoji1787] na wewe unakubali kudanganywa kifala hivyo mpe papuchi sasa uone rangi zote
Dada mbona unatukandia wanaume wa jf si ndo sie wa mtaani au sisi tunatoka mbingu isiyofahamika..?

Nabashiri nyinyi ndo wale mliokosa Siri toka utotoni! Utasikia "Mama kenzy na nanii walikuwa wanafanya matusi"😂
Halafu kwa kukandia unaongeza "halafu kenzy akamuumiza mwenzake"🤣🤣

Na still bado mnatufata hadi ukubwani😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…