Wewe kaka wewe, toka huko PM njoo uniahidi hapa

Sio kuwakandia bwana kadanganywa anaona kapata tajiri wa mafuta kumbe mwenzie yupo kwenye mpango wa kumkula kimasihara
 
Sio kuwakandia bwana kadanganywa anaona kapata tajiri wa mafuta kumbe mwenzie yupo kwenye mpango wa kumkula kimasihara
Dah! Unabisha wakati pale umeandika "wanaume wa jf" inabidi tuanzishe mgomo😂

Haliwi kimasihara we acha kitu kiyeye maana kwanza habanduliwi kusema atakosa milele.. unamkandia baharia mwenzetu hujui kuna msemo usimuamshe Alie lala utalala wewe! Shauli yako 😂😜
 
Wala sijawaweka kwa uwingi nimemsemea wake rudi usome vizuri
 
Integrity, is to keep other people's secrets even after break.
Either ungekataa au ungekubali yaishie hukohuko, kama ingekuwa public angekuandikia uzi.
 
Sawa mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo Moshi au wap ww?
Pole na Mchaka mchakaa aisee si tumejifungia tu tunatoka kwa kuvizia [emoji23] usisahau kujifukiza
Sijambo mimi jamani mwanakamati!
Nimekumiss ya hela yote!

Huku ni mambo sio mambo kabisaa
 
kama unamashaka mpe bure
 
Upo Moshi au wap ww?
Pole na Mchaka mchakaa aisee si tumejifungia tu tunatoka kwa kuvizia [emoji23] usisahau kujifukiza
Niko Muheza jamani mwanakamati!!
Meshajifukiza mpaka mekuwa wa njano sasa!!
 
Na wewe utampa nini na nini?? Kama ni hiyo tu mbona wenzio hutoa kila siku tena bureee kabisa kodi chumba na kitanda tu. Hao wakeze wengine anawalipa ngapi kila siku??
 
Wewe Vutelove umeona uniabishe humu?.Sio vizuri acha hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…