Wewe Makonda, uadilifu umeanza lini? Makontena yako 20 ulikwepa kodi ya sh. 1.2 bilioni. Acha kuhadaa wananchi

Wewe Makonda, uadilifu umeanza lini? Makontena yako 20 ulikwepa kodi ya sh. 1.2 bilioni. Acha kuhadaa wananchi

2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.

Baadaye ukakana huyatambui.

Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.

Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.

Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.

Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Dogo kisha washinda vibaya sana, endeleeni kujipiga madole ndukumi zenu huku mkijinusa
 
2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.

Baadaye ukakana huyatambui.

Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.

Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.

Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.

Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Senior security wa vinyesi
 
2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.

Baadaye ukakana huyatambui.

Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.

Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.

Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.

Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Makaburi
 
2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.

Baadaye ukakana huyatambui.

Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.

Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.

Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.

Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.

Mambo hayo hayahusiana na anayofanya sasa hivi, Makonda anafanya kazi nzuri sana let me be honest, hii itamnyooshea mapito Mama yetu Samia na uchaguzi utakuwa mrahisi kwa CCM, hayo mengine ya wakati ule hayana nafasi kwa sasa..

We are not looking for a saint, we want someone who can make the job done in CCM kwenye nafasi ya Katibu Mwenezi and we found him, na ni Makonda, mengine hatutaki at the moment..!!
 
Kama hamna ajenga nyie Mafisadi ,Mazembe na mko kwenye ofisi za Umma lkn mnakosa uzalendo na utu kwà watu maskini hawa.Mwacheni Makonda awafute machozi watu hawa wanyonge wanateseka sana kwà sababu yenu.
Yaani unaamini kabisa makonda kama Makonda anaweza anaweza kufuta ujinga ambao umekaa kimuundo hapa kinachohitajika ni mabadiliko ya system nzima maana ipo siku makonda ataondoka huoni tutarudi kule kule
 
Endeleeni na drama zenu huku mitandaoni mtakuja kushituka pameshakucha.
 
Anadhani tumesahau.
Huyu Bashite hatujasahau uhuni wake
KWANZA alipaswa akae rumande kwa kudanganya Majina, kughushi nyarara, kufanya blackmail na kuua
Umeguswa pabaya tayari mshaanza kulialia kuna mtu kashaukanyaga ugali wenu
 
Huyo mtu si muadilifu hata kidogo tatizo watz wengi sio watu conscious yaani akili si imara kuweza kupambanua mambo ndani ya muda mrefu.
Mambo yahovyo aliyofanya nimengi lkn plezdaa kaingiza muhali na kulazimisha awe kiongozi kisa aliwahi kumtabiria uongozi!! Ni aibuu
Noma sana mshaanza kupaza Sauti, tungekua na watu km hawa 100 hivi hii Nchi ingekua tishio
 
Noma sana mshaanza kupaza Sauti, tungekua na watu km hawa 100 hivi hii Nchi ingekua tishio
Ninyi ndiyo wale wajinga mliomsifuu mwendazake baadae mkamgeuka akili zenu kama bendera... Upepo unaamua fikra zenu
 
Ya makontena yaliisha pita tugange yaliopo na yajayo.
Acha Makonda awanyooshe hawa watumishi wadhulumaji wa haki za watu.
 
Ya makontena yaliisha pita tugange yaliopo na yajayo.
Acha Makonda awanyooshe hawa watumishi wadhulumaji wa haki za watu.
Jambazi akisema anwanyosha majambazi wenzake, chukua tahadhari, maana huenda anakulaghai ili aje ukafanyie ujambazi zaidi kuzidi hata wa kale.
 
2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.

Baadaye ukakana huyatambui.

Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.

Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.

Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.

Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Yaani, huyu jamaa hata uharo wake haujakauka eti anajigeuza mtetezi
 
Back
Top Bottom