johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hilo NenoNchi hii hakuna muadilifu
Wote ni wapiga kelele tu na wezi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo NenoNchi hii hakuna muadilifu
Wote ni wapiga kelele tu na wezi
Ova
Dogo kisha washinda vibaya sana, endeleeni kujipiga madole ndukumi zenu huku mkijinusa2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.
Baadaye ukakana huyatambui.
Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.
Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.
Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.
Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Senior security wa vinyesi2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.
Baadaye ukakana huyatambui.
Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.
Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.
Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.
Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Makaburi2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.
Baadaye ukakana huyatambui.
Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.
Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.
Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.
Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.
Baadaye ukakana huyatambui.
Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.
Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.
Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.
Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.
Wakiwa mmepata nguvu tena.. maskini mmeshasahau yaliyopita hata hamjifunziDogo kisha washinda vibaya sana, endeleeni kujipiga madole ndukumi zenu huku mkijinusa
Yaani unaamini kabisa makonda kama Makonda anaweza anaweza kufuta ujinga ambao umekaa kimuundo hapa kinachohitajika ni mabadiliko ya system nzima maana ipo siku makonda ataondoka huoni tutarudi kule kuleKama hamna ajenga nyie Mafisadi ,Mazembe na mko kwenye ofisi za Umma lkn mnakosa uzalendo na utu kwà watu maskini hawa.Mwacheni Makonda awafute machozi watu hawa wanyonge wanateseka sana kwà sababu yenu.
QmmmmmmmmQee ukiingia kwenye 50 zangu ndio utajua Mimi ni senior security wa kinyesi au wa makalioSenior security wa vinyesi
Anadhani tumesahau.Makaburi
Umeguswa pabaya tayari mshaanza kulialia kuna mtu kashaukanyaga ugali wenuAnadhani tumesahau.
Huyu Bashite hatujasahau uhuni wake
KWANZA alipaswa akae rumande kwa kudanganya Majina, kughushi nyarara, kufanya blackmail na kuua
Sasa unalia nini amesema mkimwekea Sumu hafi leo wala hafi kesho Mungu bado hajaamua nini unalia?QmmmmmmmmQee ukiingia kwenye 50 zangu ndio utajua Mimi ni senior security wa kinyesi au wa makalio
Noma sana mshaanza kupaza Sauti, tungekua na watu km hawa 100 hivi hii Nchi ingekua tishioHuyo mtu si muadilifu hata kidogo tatizo watz wengi sio watu conscious yaani akili si imara kuweza kupambanua mambo ndani ya muda mrefu.
Mambo yahovyo aliyofanya nimengi lkn plezdaa kaingiza muhali na kulazimisha awe kiongozi kisa aliwahi kumtabiria uongozi!! Ni aibuu
Ninyi ndiyo wale wajinga mliomsifuu mwendazake baadae mkamgeuka akili zenu kama bendera... Upepo unaamua fikra zenuNoma sana mshaanza kupaza Sauti, tungekua na watu km hawa 100 hivi hii Nchi ingekua tishio
Una akili ndogo kwani Ujinga unaouandika humu kila kukicha nani kakudai ushahidiLete ushahidi [emoji209]
Jambazi akisema anwanyosha majambazi wenzake, chukua tahadhari, maana huenda anakulaghai ili aje ukafanyie ujambazi zaidi kuzidi hata wa kale.Ya makontena yaliisha pita tugange yaliopo na yajayo.
Acha Makonda awanyooshe hawa watumishi wadhulumaji wa haki za watu.
Yaani, huyu jamaa hata uharo wake haujakauka eti anajigeuza mtetezi2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini.
Baadaye ukakana huyatambui.
Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama kawaida yako mtu mwovu unayependa laana kuliko baraka.
Eti mtu anayekwepa Kodi ya bilioni 1.2 anawakaripia wakurugenzi na mawaziri.
Philip Mpango alisimama katika haki makontena yako yakasombwa na maji.
Tuliona magari ndani ya makontena na vitu ambavyo havina uhusiano na wanafunzi.