Wewe Mchezaji Mzawa wa Simba SC uliyeiba 'Soksi' ya Mchezaji Aubin Kramo ili 'Ukamroge' mrudishie haraka sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tayari umeshajulikana na Uongozi umeita Wazee Kusoma Kitabu kwa Wachezaji wote Wazawa Washirikina ( wale wale ) wa kutoka Zanzibar waliosoma Kitabu Kipindi kile cha Simba Taliban ( waliokuwa Maadui ) wa Mafanikio ya Klabu ( Simba SC ) na hatimaye akina Ngumi Jiwe Wakafa kwa Ajali Mbaya njiani Mkoani Singida.

Haraka sana nenda kwa huyo Mganga wako wa Kienyeji Milimani Morogoro ulikopelekwa na Kipa Mzawa Mgonjwa ukaichukue kisha kawape Wazee wa Simba SC, Waombe Radhi na Wao watakusaidia Kulimaliza hili na hata Kijana wa Watu Aubin Kramo atakusamehe na nyote mtaendelea Kukipiga Klabuni na kuipa Timu Mafanikio.

GENTAMYCINE nimeamua Kukuonya mapema kwakuwa nawajua hao Wazee wa Kusoma Kitabu ( hasa Dua Kali ) kutokea huko Visiwani Zanzibar walivyo na huwa hawatanii na sitaki kukuona ama Unakufa au unapatwa na Balaa Kubwa.

Na Dogo nae ( Aubin Kramo ) muda Wowote anaruhusiwa kwenda Kwao nchini Ivory Coast hivyo angalia nae asiende Kukulipizia huku Akijiganga vyema na Wewe Mabalaa kuanza Kukuandama kama Mchezaji wa Yanga SC mwenye Kipaji kikubwa Stephane Aziz K nae alipoumizwa Kiushirikina na aliyetetewa na Mama ( Mzanzibari wa Mbagala ) kujikuta kila mara tu anaumia Goti, anakosa Magoli na Haeleweki na aliporejea tu Kwao nchini Burkina Faso huku Tanzania mbaya wake Mkuu nae akaanza Kuchanganyikiwa na kudai huwa anakula Ugali, Tembele na Sukari na kwamba ana Maisha magunu Klabuni.
 
King mavi, king wa milembe
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Ricardo momo alishaitoa hii habari juzi Kati

ila mwanzilishi alikuwa Genta humu jf

Ifike mahala Genta apewe heshima yake
 
Africa BANA Kila mcheji akiumia Amepigwa MISUMARI.

Ulaya Akina Edwardo Silva, Aron Ramsey waliumia Vibaya Mno (Majeraha ya kutisha sana)
Wao KWAO ni Ajali KAZINI.

USHIRIKINA Upo Lakini Ukiamini sana na kuweka mbele kupita kiasi HUWEZI KUENDELEA Wala Kufanikiwa.

Utaamini tu UMEROGWA nk.
YESU KRISTO NDIYE KIBOKO YA WOTE.
 
Hiyo paragraph ya mwisho nimecheka sana aiseeee
 
Genta hujawahi kuwa Chawa na naamini hautawahi kuwa Chawa wa Mtu yeyote.
Lakini Kwa hili la Kramo, aidha Kwa makusudi au Kwa kutokujua umejikuta unatumika kuficha madhaifu ya viongozi waliofanya usajili. Kramo ni injury prone na maneno ya Ahmed Ally juzi kwamba alitoka Asec akiwa na jeraha la goti ni sahihi na yanathibitisha watu wasivyo makini kwenye usajili. Viongozi wanasajili mchezaji Kwanza halafu ndo wanampeleka kwenye vipimo wakati malipo yake ya awali na manunuzi kwenye timu yake mama yalishafanyika. Hili limefanyika pia Kwa mchezaji mmoja (Kipenzi chako) ambaye Kwa Sasa ili kuficha udhaifu huo anachezeshwa dakika 25 Hadi 35 per match Hadi ukaanza kupiga kelele kwamba anabaniwa. Lakini ukweli ni kwamba tunampunguzia Muda wa kutumika na tunahakikisha anaingia Muda àmbao timu zimeshachoka na ameshauriwa asicheze Kwa kukamia hiyo kazi amuachie "Kiungo Punda". Yeye ni kupokea na kutoa, na pass za mbaaali.
 
Kitu cha eapoti au cyo
 
90% ya Wachambuzi na hata Watangazaji wenu wa Mchezo Redioni hapa Tanzania Taarifa zao za Ndani za hivi Vilabu Vikubwa huwa wanakuja hapa JamiiForums na Kunichungulia The King GENTAMYCINE nimeandika nini kisha nao Wanatambaa nazo na nimeshawaomba mno wawe wanatoa Credits Kwangu na kwa Mtandao huu wa JamiiForums, ila wameendelea tu Kudinda / Kukataa sijui wanataka sasa nianze Kuwalaani.
 
Unayoongea Ni kweli kabisa ,ila Kuna wapuuzi watakuja kukupinga na matusi juu

Kramo kapigwa misumari

Huu sio uungwana kwa walichomfanyia
Ukiona The King GENTAMYCINE nakuja na Taarifa yoyote ile hapa JamiiForums nakuomba na nawaomba na Wengineo pia Waiamini tena kwa 100% zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…